Columbus
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 2,002
- 648
Kuna dhana kwamba ukiwa umelala usiku ukakajikuta umekabwa na kushindwa kabisa kujisogeza ni kutokana na jinamizi, hili jinamizi ni nini au kuna sababu za kiafya zinazosababisha hali hiyo? je kuna namna yoyote ya kujiepusha au kuna dawa ya kutibu hali hiyo isikutokee? msaada wetu tafadhali.