Sicario poison
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,327
- 4,574
Achana na Dada yake wote lao moja- speaking from experience.Wabari wakuu na wanaJF,
Natumaini ni wazima wacha niende kwenye mkasa
Mke wangu ni mjamzito sasa mwezi huu wa 11 nilipata safari ya kikazi Dodoma now inaenda wiki ya 3 lakini baada ya kuondoka home kwaajili ya safari hii ya kazi kiukweli hakuna amani kabisa juu ya mimi na wife ni maugomvi, kulumbana na kugombana kila siku mke wangu amekuwa na maugomvi yasiyoisha sjui kwanini lakini kila siku ni maugonvi kiukweli hii hali nimejitahidi sana kuiweka sawa lakini imeshindikana coz wife amekuwa kama hakimu mfawidhi wa mahakama ya Taifa kilasiku kesi zisizo na msingi bila sababu
Kutokana na hayo kiukweli ikafika stage Dadaake ikabidi aingie kati na kutuweka sawa lakin wapi jitihada zake hazikuzaa matunda kabsa moto ukawa ni uleule lakini nimejitahidi sana kuhakikisha nayakabili haya lakini ikashindikana kila nikiwaza na kutafuta tatizo ni nini lakini sipati jibu nikimuuliza mwenzangu unataka nini ili tuyaepushe haya maisha ya kugombana hana kitu cha maana na hana sababu coz mpaka dadake kashakaa nae na kumuuliza nini shida lakini hakuna cha maana alichosema
Kiukweli ikafika kipindi dadaake akaamua kutuacha wenyewe na kushindwa kabisa lakini kila nikiwaza au labda ni mimba ndo inamsumbua lakini dadaake aliniambia kuwa ni wivu tu ndo unamsumbua coz anajua upo mbali ndo maana kila siku anaanzisha maugonvi
Juzi nilikuwa kazini na tulikuwa tuna kikao akapiga simu kiukweli nilishindwa kupokea nikamtumia text kuwa nitakupigia later niko kwa meeting lakini hakutaka kunielewa kabisa na kuanzisha ugomvi usiokuwa na sababu na kusema et namdharau sipokei simu zake
Hivi kweli wakuu hii iko sawa na ukizingatia niko kwa kikao na viongozi wangu kiukweli hii hali ikafikia stage nikashindwa wakuu kila siku maugonvi
Weekend hii nikaamua kwenda home nikaongee nae vizuri anieleze kwanini anakuwa kama mtoto kila siku maugonvi ukizingatia hata hajiurumii na hali yake nikataka anieleze nini shida na anataka tuishij. Wakuu nilijuta kurudi home kiukweli tuligomaba sana kupita amelezo na kufikia uamuzi wa kuchana, kiukweli naona tumeshindwana nimeamua kuondoka na kurudi kazini tena kuendelea na kazi nikabeba nguo zangu zote na sidhani kama nitarudi home tena nimeamua kuanzisha maisha mapya hukuhuku nilipoletwa kikazi nimetafuta nyumba ya apartment nimeichukua nakaa mwenyewe na nimeamua kumuachia kila kitu na kuna hela kwenye account ambazo nimemuekea kama akiba ya emergency kutokana na hali yake na nimeshamtaarifu dadake kwa maangalizi lakini kama kuna changamoto yoyote itatokea anijulishe nitampatia pesa lakini sitaki amuambie mdogo wake kuwa nimempatia hela na ninafanya hayo kwaajili ya kiumbe changu alichobeba mpaka pale atakapojifungua then baada ya hapo nafikiri ndo mengine yatafuta kama ni talaka au vipi lakini mpaka now uamuzi ni kwamba kila mtu aangalie maisha yake
Wakuu ni hayo yaliojiri,kama nitakuwa nimekosea wakuu mtanisamehe lakini nimeshindwa hayo maisha ya maugonvi kila siku hapana wakuu kama mtoto nitatimiza majukumu yangu kama baba
Shukrani wakuu
Mkuu wewe bado learner kwenye ndoa….tena inabidi ubandikwe L kubwaaa kabisa mgongoni mwako!!Wabari wakuu na wanaJF,
Natumaini ni wazima wacha niende kwenye mkasa
Mke wangu ni mjamzito sasa mwezi huu wa 11 nilipata safari ya kikazi Dodoma now inaenda wiki ya 3 lakini baada ya kuondoka home kwaajili ya safari hii ya kazi kiukweli hakuna amani kabisa juu ya mimi na wife ni maugomvi, kulumbana na kugombana kila siku mke wangu amekuwa na maugomvi yasiyoisha sjui kwanini lakini kila siku ni maugonvi kiukweli hii hali nimejitahidi sana kuiweka sawa lakini imeshindikana coz wife amekuwa kama hakimu mfawidhi wa mahakama ya Taifa kilasiku kesi zisizo na msingi bila sababu
Kutokana na hayo kiukweli ikafika stage Dadaake ikabidi aingie kati na kutuweka sawa lakin wapi jitihada zake hazikuzaa matunda kabsa moto ukawa ni uleule lakini nimejitahidi sana kuhakikisha nayakabili haya lakini ikashindikana kila nikiwaza na kutafuta tatizo ni nini lakini sipati jibu nikimuuliza mwenzangu unataka nini ili tuyaepushe haya maisha ya kugombana hana kitu cha maana na hana sababu coz mpaka dadake kashakaa nae na kumuuliza nini shida lakini hakuna cha maana alichosema
Kiukweli ikafika kipindi dadaake akaamua kutuacha wenyewe na kushindwa kabisa lakini kila nikiwaza au labda ni mimba ndo inamsumbua lakini dadaake aliniambia kuwa ni wivu tu ndo unamsumbua coz anajua upo mbali ndo maana kila siku anaanzisha maugonvi
Juzi nilikuwa kazini na tulikuwa tuna kikao akapiga simu kiukweli nilishindwa kupokea nikamtumia text kuwa nitakupigia later niko kwa meeting lakini hakutaka kunielewa kabisa na kuanzisha ugomvi usiokuwa na sababu na kusema et namdharau sipokei simu zake
Hivi kweli wakuu hii iko sawa na ukizingatia niko kwa kikao na viongozi wangu kiukweli hii hali ikafikia stage nikashindwa wakuu kila siku maugonvi
Weekend hii nikaamua kwenda home nikaongee nae vizuri anieleze kwanini anakuwa kama mtoto kila siku maugonvi ukizingatia hata hajiurumii na hali yake nikataka anieleze nini shida na anataka tuishij. Wakuu nilijuta kurudi home kiukweli tuligomaba sana kupita amelezo na kufikia uamuzi wa kuchana, kiukweli naona tumeshindwana nimeamua kuondoka na kurudi kazini tena kuendelea na kazi nikabeba nguo zangu zote na sidhani kama nitarudi home tena nimeamua kuanzisha maisha mapya hukuhuku nilipoletwa kikazi nimetafuta nyumba ya apartment nimeichukua nakaa mwenyewe na nimeamua kumuachia kila kitu na kuna hela kwenye account ambazo nimemuekea kama akiba ya emergency kutokana na hali yake na nimeshamtaarifu dadake kwa maangalizi lakini kama kuna changamoto yoyote itatokea anijulishe nitampatia pesa lakini sitaki amuambie mdogo wake kuwa nimempatia hela na ninafanya hayo kwaajili ya kiumbe changu alichobeba mpaka pale atakapojifungua then baada ya hapo nafikiri ndo mengine yatafuta kama ni talaka au vipi lakini mpaka now uamuzi ni kwamba kila mtu aangalie maisha yake
Wakuu ni hayo yaliojiri,kama nitakuwa nimekosea wakuu mtanisamehe lakini nimeshindwa hayo maisha ya maugonvi kila siku hapana wakuu kama mtoto nitatimiza majukumu yangu kama baba
Shukrani wakuu
Ulishawahi kumzibua makofi?Msingefika hukuWabari wakuu na wanaJF,
Natumaini ni wazima wacha niende kwenye mkasa
Mke wangu ni mjamzito sasa mwezi huu wa 11 nilipata safari ya kikazi Dodoma now inaenda wiki ya 3 lakini baada ya kuondoka home kwaajili ya safari hii ya kazi kiukweli hakuna amani kabisa juu ya mimi na wife ni maugomvi, kulumbana na kugombana kila siku mke wangu amekuwa na maugomvi yasiyoisha sjui kwanini lakini kila siku ni maugonvi kiukweli hii hali nimejitahidi sana kuiweka sawa lakini imeshindikana coz wife amekuwa kama hakimu mfawidhi wa mahakama ya Taifa kilasiku kesi zisizo na msingi bila sababu
Kutokana na hayo kiukweli ikafika stage Dadaake ikabidi aingie kati na kutuweka sawa lakin wapi jitihada zake hazikuzaa matunda kabsa moto ukawa ni uleule lakini nimejitahidi sana kuhakikisha nayakabili haya lakini ikashindikana kila nikiwaza na kutafuta tatizo ni nini lakini sipati jibu nikimuuliza mwenzangu unataka nini ili tuyaepushe haya maisha ya kugombana hana kitu cha maana na hana sababu coz mpaka dadake kashakaa nae na kumuuliza nini shida lakini hakuna cha maana alichosema
Kiukweli ikafika kipindi dadaake akaamua kutuacha wenyewe na kushindwa kabisa lakini kila nikiwaza au labda ni mimba ndo inamsumbua lakini dadaake aliniambia kuwa ni wivu tu ndo unamsumbua coz anajua upo mbali ndo maana kila siku anaanzisha maugonvi
Juzi nilikuwa kazini na tulikuwa tuna kikao akapiga simu kiukweli nilishindwa kupokea nikamtumia text kuwa nitakupigia later niko kwa meeting lakini hakutaka kunielewa kabisa na kuanzisha ugomvi usiokuwa na sababu na kusema et namdharau sipokei simu zake
Hivi kweli wakuu hii iko sawa na ukizingatia niko kwa kikao na viongozi wangu kiukweli hii hali ikafikia stage nikashindwa wakuu kila siku maugonvi
Weekend hii nikaamua kwenda home nikaongee nae vizuri anieleze kwanini anakuwa kama mtoto kila siku maugonvi ukizingatia hata hajiurumii na hali yake nikataka anieleze nini shida na anataka tuishij. Wakuu nilijuta kurudi home kiukweli tuligomaba sana kupita amelezo na kufikia uamuzi wa kuchana, kiukweli naona tumeshindwana nimeamua kuondoka na kurudi kazini tena kuendelea na kazi nikabeba nguo zangu zote na sidhani kama nitarudi home tena nimeamua kuanzisha maisha mapya hukuhuku nilipoletwa kikazi nimetafuta nyumba ya apartment nimeichukua nakaa mwenyewe na nimeamua kumuachia kila kitu na kuna hela kwenye account ambazo nimemuekea kama akiba ya emergency kutokana na hali yake na nimeshamtaarifu dadake kwa maangalizi lakini kama kuna changamoto yoyote itatokea anijulishe nitampatia pesa lakini sitaki amuambie mdogo wake kuwa nimempatia hela na ninafanya hayo kwaajili ya kiumbe changu alichobeba mpaka pale atakapojifungua then baada ya hapo nafikiri ndo mengine yatafuta kama ni talaka au vipi lakini mpaka now uamuzi ni kwamba kila mtu aangalie maisha yake
Wakuu ni hayo yaliojiri,kama nitakuwa nimekosea wakuu mtanisamehe lakini nimeshindwa hayo maisha ya maugonvi kila siku hapana wakuu kama mtoto nitatimiza majukumu yangu kama baba
Shukrani wakuu
Nimecheka kwa sauti.Ulishawahi kumzibua makofi?Msingefika huku
Duh unawatoto wangapi na huyo mke wakoDaah mkuu nitakufa kwa stress na presha hapana mkuu wacha nipumzike
Ila nimekufukunyua,nimegundua wewe ni mpuuzi tu,ni dhaifu sana na unatupotezea mda tu. Ona hizi nyuzi zako,drama drama kama sio wa kiume. Kila la heriWabari wakuu na wanaJF,
Natumaini ni wazima wacha niende kwenye mkasa
Mke wangu ni mjamzito sasa mwezi huu wa 11 nilipata safari ya kikazi Dodoma now inaenda wiki ya 3 lakini baada ya kuondoka home kwaajili ya safari hii ya kazi kiukweli hakuna amani kabisa juu ya mimi na wife ni maugomvi, kulumbana na kugombana kila siku mke wangu amekuwa na maugomvi yasiyoisha sjui kwanini lakini kila siku ni maugonvi kiukweli hii hali nimejitahidi sana kuiweka sawa lakini imeshindikana coz wife amekuwa kama hakimu mfawidhi wa mahakama ya Taifa kilasiku kesi zisizo na msingi bila sababu
Kutokana na hayo kiukweli ikafika stage Dadaake ikabidi aingie kati na kutuweka sawa lakin wapi jitihada zake hazikuzaa matunda kabsa moto ukawa ni uleule lakini nimejitahidi sana kuhakikisha nayakabili haya lakini ikashindikana kila nikiwaza na kutafuta tatizo ni nini lakini sipati jibu nikimuuliza mwenzangu unataka nini ili tuyaepushe haya maisha ya kugombana hana kitu cha maana na hana sababu coz mpaka dadake kashakaa nae na kumuuliza nini shida lakini hakuna cha maana alichosema
Kiukweli ikafika kipindi dadaake akaamua kutuacha wenyewe na kushindwa kabisa lakini kila nikiwaza au labda ni mimba ndo inamsumbua lakini dadaake aliniambia kuwa ni wivu tu ndo unamsumbua coz anajua upo mbali ndo maana kila siku anaanzisha maugonvi
Juzi nilikuwa kazini na tulikuwa tuna kikao akapiga simu kiukweli nilishindwa kupokea nikamtumia text kuwa nitakupigia later niko kwa meeting lakini hakutaka kunielewa kabisa na kuanzisha ugomvi usiokuwa na sababu na kusema et namdharau sipokei simu zake
Hivi kweli wakuu hii iko sawa na ukizingatia niko kwa kikao na viongozi wangu kiukweli hii hali ikafikia stage nikashindwa wakuu kila siku maugonvi
Weekend hii nikaamua kwenda home nikaongee nae vizuri anieleze kwanini anakuwa kama mtoto kila siku maugonvi ukizingatia hata hajiurumii na hali yake nikataka anieleze nini shida na anataka tuishij. Wakuu nilijuta kurudi home kiukweli tuligomaba sana kupita amelezo na kufikia uamuzi wa kuchana, kiukweli naona tumeshindwana nimeamua kuondoka na kurudi kazini tena kuendelea na kazi nikabeba nguo zangu zote na sidhani kama nitarudi home tena nimeamua kuanzisha maisha mapya hukuhuku nilipoletwa kikazi nimetafuta nyumba ya apartment nimeichukua nakaa mwenyewe na nimeamua kumuachia kila kitu na kuna hela kwenye account ambazo nimemuekea kama akiba ya emergency kutokana na hali yake na nimeshamtaarifu dadake kwa maangalizi lakini kama kuna changamoto yoyote itatokea anijulishe nitampatia pesa lakini sitaki amuambie mdogo wake kuwa nimempatia hela na ninafanya hayo kwaajili ya kiumbe changu alichobeba mpaka pale atakapojifungua then baada ya hapo nafikiri ndo mengine yatafuta kama ni talaka au vipi lakini mpaka now uamuzi ni kwamba kila mtu aangalie maisha yake
Wakuu ni hayo yaliojiri,kama nitakuwa nimekosea wakuu mtanisamehe lakini nimeshindwa hayo maisha ya maugonvi kila siku hapana wakuu kama mtoto nitatimiza majukumu yangu kama baba
Shukrani wakuu
Pole sana mkuu. Ngoja nisome huu uzi
[emoji23][emoji23][emoji23]Halafu hakuna vituo wala koma unasoma mpaka pumzi inakata
Kabla hajawa na mimba alikuaga na hali hyoAsantee mkuu
Yeah nikweli mkuu nampenda wife ila acha iwe tu hayo maisha siwez moyo umeshagoma
Kuhusu shemeji haiwez kutokea mkuu
Kwani huo ugomvi umeanza alipobeba mimba au hata kabla ni ugomvi tu?Mkuu nikweli lakini acha kwanza nipumue
Hiyo ni mood swings za mimba. Akijifungua atakaa sawa mkuu. Achana na masuala ya talaka. Wanawake wakiwa na mimba wanapitia mvurugiko mkubwa sana wa mfumo wa miili yao hivyo ni matokeo ya mimba tu hayo mkuu, relax.