Nimeachana na mke wangu

Wabari wakuu na wana Jf
Natumaini niwazima wacha niende kwenye mkasa

Mkewangu ni mjamzito sasa mwezi huu wa 11 nilipata safari ya kikazi Dodoma now inaenda wiki ya 3 lakini baada ya kuondoka
Hii inafaa hapa jukwaa la siasa?

Halafu mbona ni kama sentensi Moja tu?
 
Usimuache. Wakati wa kelele acha azipige weee atanyamaza tu. Akipiga simu kwa ajili ya ugomvi pokea weka laud endelea na mambo mengine ataongea weweee vocha itaisha. Usitafute usuluhishi nje. Furahia maisha kwa namna nyingine.

Mwanamke wa kuacha ni mzinzi, muuaji na mchawi, mengine ni kuyachukulia kama ya mtoto mjinga.
 
Hela muhimu kuliko mapenzi maana uzeeni hela ndio zitakutunza na sio mapenzi
 
Bado huna sababu ya kumwacha mke wako, subiri mke wako ajifungue, atakaa sawa. Ikiwa changamoto ni mimba itajulikana, ikiwa tatizo lipo kiroho itajulikana, na ikiwa tatizo linasababishwa na wewe napo itajulikana.

Tunapaswa kuelewa mwanamke mjamzito anahitaji ukaribu wa mume wake, anapoukosa na mawasiliano yakawa hafifu ujue umetengeneza mgogoro mwenyewe. Acha kutangaza kumwacha mke sio sifa, Kaa tulia, tumia akili, mambo yatakuwa sawa.
 
Amekuchukia kwasababu ya mimba na anavyofanya ivyo moyoni mwake anakuwa na amani sana,usijali mwanamke akikuchukia sana anakuletea kopi yako,akishajifungua utashangaa anabadilika kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…