Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,469
- 9,686
Ulifurahia Pep alivyotoa Kisago kwa chama LA zamani?Mimi nilikua huko sasa Niko man city
Ulifurahia Pep alivyotoa Kisago kwa chama LA zamani?Mimi nilikua huko sasa Niko man city
Ulifanya maamuzi sahihi maana leo tena. ..?Duh Arsenal na mashabiki wake wanatia huruma.
anashinda njaaarsenal anashinda leo
arsenal anashinda leo
Mzee mwenzangu hali tete London ndege hazitui wala hazipai labda majaaliwa ya kusubiri "what a comeback? ??kumekucha...Emirate
Mzee mwenzangu hali tete London ndege hazitui wala hazipai labda majaaliwa ya kusubiri "what a comeback? ??
hashindi njaa mkuuAre you serious?
Kwa hali ile? ?Never say never
Ass anal
SUGU ni chama kubwa kama Arsenal!Arsenal na chama la wanaume wenye roho za kiume. Ww nenda tu
leo tena mmechezea