ally habib
Member
- Feb 19, 2013
- 37
- 8
km pazia la utaftaji wenza uraian ltafungwa lbakie l JF wng 2tadanja bachela yn kwny vigezo vyao m nna k1 kwmb am man bs
Ha ha!, hata pesa huna??
Ila suruali si ipo?
km pazia la utaftaji wenza uraian ltafungwa lbakie l JF wng 2tadanja bachela yn kwny vigezo vyao m nna k1 kwmb am man bs
Nataka nikununulie nyumba Dubai,vipi utaeleweka?kama huna vigezo go screw ya self, hapa ni hela, elimu, na mipango. sura, ndevu na map......u hata mbuzi anayo. so mwanaume si sura, ndevu wala map....u!! mwanaume mipango, mwanaume shekeli, mwanaume kuwajibika na kumtunza mke.
Nataka nikununulie nyumba Dubai,vipi utaeleweka?
Tafuta tu Wazee mamaaa ...vijana cku izi hawahongi!! tunawaza gari na kijikazi kitakakochokufanya usumbue mujyin!! Ukiwa navyo hivyo madem ni BUUUUUURE BWERERERE TENA UNAFANYA KUBADILISHA KULIKO KUHONGA MSICHANA MMOJA DAILY...TAFUTA MADINGI ZETU UMRI UMEENDA NDO UTAWEZA KUWAPELEKESHA !!!kama huna vigezo go screw ya self, hapa ni hela, elimu, na mipango. sura, ndevu na map......u hata mbuzi anayo. so mwanaume si sura, ndevu wala map....u!! mwanaume mipango, mwanaume shekeli, mwanaume kuwajibika na kumtunza mke.
Tafuta tu Wazee mamaaa ...vijana cku izi hawahongi!! tunawaza gari na kijikazi kitakakochokufanya usumbue mujyin!! Ukiwa navyo hivyo madem ni BUUUUUURE BWERERERE TENA UNAFANYA KUBADILISHA KULIKO KUHONGA MSICHANA MMOJA DAILY...TAFUTA MADINGI ZETU UMRI UMEENDA NDO UTAWEZA KUWAPELEKESHA !!!
mliyataka wenyewe haki sawa!! tunatoka wote kwenda kazini, unalipwa/nalipwa...tunarudi nyumbani unaosha vyombo mi napiga deki, unapika mi nafua nguo!....CHAKUSHANGAZA umeme (baba), maji(baba), kodi (baba), chakula (baba) ada(baba) ndugu zangu (baba) ndugu zako (baba) kuingia kwako leba sio kwamba ni mwanaume kakutakia, hayo ni mipango ya Mungu....Uzuri siku hizi wanawake tunajua kuzitafuta wenyewe. Shida zenu mkalilie hukooo, utasemaje una mke wakati hujui hata chupi yake anapata wapi? unaoa mke agharamie shela yake mwenyewe? kwanini wanaume wa zamani walikuwa wanajiskia fahari kuhangaika na kuhudumia wanawake wao ila wanaume wa leo hii wengi wao wakikumbushwa responsibilities unakuwa umekosana nao??
Ila suruali si ipo?
km pazia la utaftaji wenza uraian ltafungwa lbakie l JF wng 2tadanja bachela yn kwny vigezo vyao m nna k1 kwmb am man bs
kama huna vigezo go screw ya self, hapa ni hela, elimu, na mipango. sura, ndevu na map......u hata mbuzi anayo. so mwanaume si sura, ndevu wala map....u!! mwanaume mipango, mwanaume shekeli, mwanaume kuwajibika na kumtunza mke.