Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,160
Kama una tamaa una tamaa hata upewe kisiwa na sheli anamegewa McDonalds mwenye hela zake itakuwa nyie wa vitz na kupangiwa nyumba/ubavu.
Hahaha naona ushavurugwa byeee....katafute hela acha kupoteza muda hapa online. ohooo ukweli haubadiliki kwamba men ndio bread winner. mie nakuachia hapa kwani nshaona wavurugaji walichakuchafua tayari.