nime "GIVE UP" kupata mwenza JF

nime "GIVE UP" kupata mwenza JF

Uzuri siku hizi wanawake tunajua kuzitafuta wenyewe. Shida zenu mkalilie hukooo, utasemaje una mke wakati hujui hata chupi yake anapata wapi? unaoa mke agharamie shela yake mwenyewe? kwanini wanaume wa zamani walikuwa wanajiskia fahari kuhangaika na kuhudumia wanawake wao ila wanaume wa leo hii wengi wao wakikumbushwa responsibilities unakuwa umekosana nao??

Sasa kama unajua kutafuta hela unataka ununuliwe chupi ya nini? Hela yako wewe ukajenge kwenu Moshi ila yangu tutumie wote si ndio?
Hakuna m/ume -------- atakaeoa m/mke mwenye mawazo kama yako labda kidogo mjinga ndo anaweza kuleta na posa.
M/mke mwenye upeo wanagawana hadi majukumu katika familia kama mna watoto atataka hata mmoja amsomeshe yeye. Sio wewe unakazi unataka hadi chupi na Pedi ununuliwe sasa si bora ukae nyumbani nijue mke wangu Goalkeeper anasubiri kudaka.
 
Njoo kwangu, ujue kukata kiuno tu, vingine mipango ya Mungu, tutasomeshana wenyewe, tutatafuta hela pamoja, kama ni magari tutaenda wote show room. Pasu kwa pasu.
eeeeeeehhhhhhhh.... nakusalimu kwa jina la bwana.
 
kama huna vigezo go screw ya self, hapa ni hela, elimu, na mipango. sura, ndevu na map......u hata mbuzi anayo. so mwanaume si sura, ndevu wala map....u!! mwanaume mipango, mwanaume shekeli, mwanaume kuwajibika na kumtunza mke.
Mama leo umeamkaje mbona mkali hivyo?
 
Pole yako wewe basi ulidanganya katika ule uzi wa Wadada wa kichagga Mjisafishe.

uliniquote vibaya ktk huo uzi tu!!!!

nidanganje ili iweje!!!!!!!kukuogopa stata mzuka!!!!!!

again POLE in capital letters kwa kupenda kushadadia
makabila ya watu,thread inasema vingine unarukia mambo mengine
 
We hatukushangai ulishasema kabisa we ni mMachame.
Huwezi acha asili.
Mbona tumeoa huko huko na hatuna hela kihivyo lakini tunaishi vizuri tu, Umachame inategemea mtu na mtu hata makabila mengine tunasikia yanaua waume zao kila siku.
 
Sasa kama unajua kutafuta hela unataka ununuliwe chupi ya nini? Hela yako wewe ukajenge kwenu Moshi ila yangu tutumie wote si ndio?
Hakuna m/ume -------- atakaeoa m/mke mwenye mawazo kama yako labda kidogo mjinga ndo anaweza kuleta na posa.
M/mke mwenye upeo wanagawana hadi majukumu katika familia kama mna watoto atataka hata mmoja amsomeshe yeye. Sio wewe unakazi unataka hadi chupi na Pedi ununuliwe sasa si bora ukae nyumbani nijue mke wangu Goalkeeper anasubiri kudaka.

Subiri kumegewa mkeo na wanaojua ku care
 
Utaishia kumegwa na ndoa utaisikia kwa wenzako au huchoki kuhudhuria kwenye vikao vya harusi na kadi za michango kwa wenzako.
Mama yako alichagua vyote hivyo kwa baba yako?

Ukweli utabaki pale pale kwamba ndevu hata simba anazo
 
km pazia la utaftaji wenza uraian ltafungwa lbakie l JF wng 2tadanja bachela yn kwny vigezo vyao m nna k1 kwmb am man bs

you will jiju yaani jeiefu ni mahala pakutafutia vimwana kereuwiii..
 
you will jiju yaani jeiefu ni mahala pakutafutia vimwana kereuwiii..

popote unaweza mpata m/ke au m/me, iwe jf, fb, linkedin, kanisani, msibani, arusini... popote unaweza kumpata..usituwekee kanuni hapa..hii sio pie kwamba haibadiliki.
 
uliniquote vibaya ktk huo uzi tu!!!!

nidanganje ili iweje!!!!!!!kukuogopa stata mzuka!!!!!!

again POLE in capital letters kwa kupenda kushadadia
makabila ya watu,thread inasema vingine unarukia mambo mengine

Nishadadie kabila la Wapalestina?
 
Mdogo wangu, sasa naona umekasirika.. cool down a little! Msije kutwangana kwenye keyboard.

Mimi napoteza muda tu hapa kaka yangu kwa kupima how emotional wanaume wanaweza kuwa wakiguswa kwenye angle zao. Huoni wanaume wa kweli wamekaa kimya amebaki yeye kutoa povu. hahahaha
 
Back
Top Bottom