Nimchague yupi kati ya hawa

Nimchague yupi kati ya hawa

mnywaba

Member
Joined
Jul 9, 2014
Posts
25
Reaction score
6
habari zenu wakuu,

Ni hivi, mwaka jana mwezi wa kumi na mbili nimebahatika kupata marafiki wa kiume wawili, mmoja kati ya hao ana watoto wanne na kila mtoto ana mama yake.

Nilipomuuliza sababu za kuzaa na kila mwanamke na kwanini akubahatika kuoa mmoja kati ya hao aliozaa nao alichonijibu ni kua hao watatu walimsaliti na mmoja kati ya hao wanne alikua mshirikina.

Lakini mimi nabaki njia panda sababu kijana anaonekana ni mkorofi coz kitu kidogo tu matusi, may be umechelewa kupokea simu anakutukana matusi ya nguoni na mengine hayaandikiki.

Nabaki njia panda kwa sababu Jamaa kangangania anataka kuleta posa kwetu but mimi namzungusha kozi jamaa wivu mwingi na mihasira. Afu pia najiuliza kwanini wenzangu washindweeee?

Pia kuhusu huyu wa pili yeye nae anadai anataka kunioa lakini we are differ in religion lakini anaonekana ni gud guy kimatendo na maongezi pia na anavyodai yeye hamjui mwanamke yani mimi ndo ntakua wa kwanza (kumbuka ana kazi yake na maisha he is about 29).

NB: sipo chini ya miaka 27 pia sina mtoto

Naombeni ushauri wenu niende wapi?
 
nenda unapo jua moyo wako umependa.....
ila mbona ulivyo andika nikama upo nao kwenye mahusiano wote wawili?
 
hebu tuambie ukiachia upendo huyo wa pili anaweza kuoa bila kipingamizi toka familia zote mbili au mmeplan ndoa ya aina gani au mmeplan kujilipua kujifungisha wenyewe hata wazazi wakigoma if ndoa inawezekana na hakuboi nenda kwa wa pili
 
Option ya kwanza ni wazi haikufai. Option ya pili - Kijana ana miaka 29, wewe umri si chini ya miaka 29. Kifupi umemzidi umri. La pili ni dini tofauti. Hayo yote mawili si tatizo kama kuna upendo kati yenu. Wakati mwingine huwa nashangaa watu kuzungumzia dini wakati ukweli wenyewe misikitini/makanisani kwao ni vituo vya polisi. Siku hizi ukipenda badili hata kabila!
 
Mwanaume wa kutooana kwamba matusi ni kosa simtaki aisee..
Wewe jichagulie umpendaye..ambaye atleast amefika vigezo 6 kati ya 10 unavyovihitaji.
 
Huyo wa kwanza tayari umeona mapungufu aliyonayo, kama dini si kikwazo kikubwa kwako nenda kwa wa2!!
 
Mzalie huyo wa kwanza mtoto wa tano afu mpige chini
 
Huyo wa matusi ni wazi hakufai nenda na uyo wa pili ikiwa kuna upendo kati yenu. Hilo la dini linazungumzika
 
Mwanaume wa kutooana kwamba matusi ni kosa simtaki aisee..
Wewe jichagulie umpendaye..ambaye atleast amefika vigezo 6 kati ya 10 unavyovihitaji.
Mwanamke tena vigezo?
hata kwenye vitabu vitakatifu imeandikwa mwanaume atapenda na mwanamke atatii.
 
habari zenu wakuu,

Ni hivi, mwaka jana mwezi wa kumi na mbili nimebahatika kupata marafiki wa kiume wawili, mmoja kati ya hao ana watoto wanne na kila mtoto ana mama yake.

Nilipomuuliza sababu za kuzaa na kila mwanamke na kwanini akubahatika kuoa mmoja kati ya hao aliozaa nao alichonijibu ni kua hao watatu walimsaliti na mmoja kati ya hao wanne alikua mshirikina.

Lakini mimi nabaki njia panda sababu kijana anaonekana ni mkorofi coz kitu kidogo tu matusi, may be umechelewa kupokea simu anakutukana matusi ya nguoni na mengine hayaandikiki.

Nabaki njia panda kwa sababu Jamaa kangangania anataka kuleta posa kwetu but mimi namzungusha kozi jamaa wivu mwingi na mihasira. Afu pia najiuliza kwanini wenzangu washindweeee?

Pia kuhusu huyu wa pili yeye nae anadai anataka kunioa lakini we are differ in religion lakini anaonekana ni gud guy kimatendo na maongezi pia na anavyodai yeye hamjui mwanamke yani mimi ndo ntakua wa kwanza (kumbuka ana kazi yake na maisha he is about 29).

NB: sipo chini ya miaka 27 pia sina mtoto

Naombeni ushauri wenu niende wapi?

Mmh bila shaka huyo mkorofi ana mashiko kuzidi huyo bikra ndo maana upo njia panda. Anyway ukiona mwanaume kashindwa kukaa na wanawake wanne ujue hapo kuna tatizo.
 
Mwenye Watoto wanne ni kimeo hiko cha kufa mtu....kama hata hilo hulioni basi wewe nae ni kimeo kingine..
hahahahahah THE BOSS umetisha. angekuwa na mtoto moja siyo tatizo lakini wanne halafu ushindwe kuoa hata mmoja. hapana.
 
habari zenu wakuu,

Ni hivi, mwaka jana mwezi wa kumi na mbili nimebahatika kupata marafiki wa kiume wawili, mmoja kati ya hao ana watoto wanne na kila mtoto ana mama yake.

Nilipomuuliza sababu za kuzaa na kila mwanamke na kwanini akubahatika kuoa mmoja kati ya hao aliozaa nao alichonijibu ni kua hao watatu walimsaliti na mmoja kati ya hao wanne alikua mshirikina.

Lakini mimi nabaki njia panda sababu kijana anaonekana ni mkorofi coz kitu kidogo tu matusi, may be umechelewa kupokea simu anakutukana matusi ya nguoni na mengine hayaandikiki.

Nabaki njia panda kwa sababu Jamaa kangangania anataka kuleta posa kwetu but mimi namzungusha kozi jamaa wivu mwingi na mihasira. Afu pia najiuliza kwanini wenzangu washindweeee?

Pia kuhusu huyu wa pili yeye nae anadai anataka kunioa lakini we are differ in religion lakini anaonekana ni gud guy kimatendo na maongezi pia na anavyodai yeye hamjui mwanamke yani mimi ndo ntakua wa kwanza (kumbuka ana kazi yake na maisha he is about 29).

NB: sipo chini ya miaka 27 pia sina mtoto

Naombeni ushauri wenu niende wapi?


sasa umeleta uzi halafu umekimbia utasaidiwaje? Njoo huku na wewe uwe unatirika wakti na sisi tunatirika.
 
habari zenu wakuu,

Ni hivi, mwaka jana mwezi wa kumi na mbili nimebahatika kupata marafiki wa kiume wawili, mmoja kati ya hao ana watoto wanne na kila mtoto ana mama yake.

Nilipomuuliza sababu za kuzaa na kila mwanamke na kwanini akubahatika kuoa mmoja kati ya hao aliozaa nao alichonijibu ni kua hao watatu walimsaliti na mmoja kati ya hao wanne alikua mshirikina.

Lakini mimi nabaki njia panda sababu kijana anaonekana ni mkorofi coz kitu kidogo tu matusi, may be umechelewa kupokea simu anakutukana matusi ya nguoni na mengine hayaandikiki.

Nabaki njia panda kwa sababu Jamaa kangangania anataka kuleta posa kwetu but mimi namzungusha kozi jamaa wivu mwingi na mihasira. Afu pia najiuliza kwanini wenzangu washindweeee?

Pia kuhusu huyu wa pili yeye nae anadai anataka kunioa lakini we are differ in religion lakini anaonekana ni gud guy kimatendo na maongezi pia na anavyodai yeye hamjui mwanamke yani mimi ndo ntakua wa kwanza (kumbuka ana kazi yake na maisha he is about 29).

NB: sipo chini ya miaka 27 pia sina mtoto

Naombeni ushauri wenu niende wapi?

Hakuna hata mmoja anayekufaa hapo. Huyo mwenye watoto wala usimuwazie hata hivyo yaani unataka ile unaolewa tu tayari ni mama wa watoto wanne wenye wamama tofauti? heri ingekuwa wote wanatoka kwa mama mmoja.

Huyo wa dini....sikushauri ufanye haraka. Kwa mila desturi za jamii zetu waafrica, dini ndiyo kila kitu. Ndiyo mustakabali ya maisha ya jamii na hata uchumi na siasa. Itakuwa asali kwa muda tu baadaye ndoa inaweza kugeuka kuwa shubiri.
 
Back
Top Bottom