Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,641
- 47,660
Na ilo shimo li wapi? 🤣Shimoni
Na ilo shimo li wapi? 🤣Shimoni
Unantoshe kidonda....now nipo sober Mimi 😅Kwa mshangazi🙂
Siwezi toroka aisee, labda unitoroshe wewe 😅Angalia usitoroke
Mimi natamani unitoroshe 🙈Sikutoroshi hata!
Ukizoea ni raha unatamani hata course isiisheBahati nzuri ulioga maji ya bomba. Kuna wengine, maeneo yao, walikuwa wakioga ziwani. *****, mwanzoni hata huo mda wa kuoga hampewi, na usipooga kesi. Basi tu. Lakini ukizoea,ni raha sana.
Mbio zitakuwepo tu, itategemeana na anayetukimbiza 😅Una mbio? Raha ya kutoroka ni kukimbia ila tusikamatwe
Kumbe jeshini mnafundishwa kukimbia? Sasa mapambano atayafanya nani? 😅😅Lazima nikuache nyuma, jeshini nimefundishwa mbio mwenzako
Karate zipo hizo? Nataka kuwa mwanafunzi wako 😎Hujui nilijifunza karate? Nipo vizuri..
Sema nakuwa free mida ya usiku tu, utaweza kunifundisha mida hiyo? 😎Karate za wachina sijui wajapan wale!
Wewe tu mimi kama mwalimu nipo tayari