T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,096
- 4,574
Nilitaka kukukashifu Ila haya maneno yako yameniingia moyoni'Tengeneza furaha kwa wenzako bila kujali furaha yako'
Nikikupa kazi ya kutengeneza furaha yangu hutaweza ila mimi naweza kutengeneza furaha za wenzangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina tabia hii pia
Sent using Jamii Forums mobile app