Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,824
- 7,350
- Thread starter
- #21
Duuu!!!Hii chai we ulikula kidali na mhindi nae alikula kidali acha fix
Hujui hata idad ya vidal ktk mwili wa kuku???
Duuu!!!Hii chai we ulikula kidali na mhindi nae alikula kidali acha fix
Majukumu mengi mshahara mdogoKwaiyo ulikokutana nayo kwenye ajira ya wahindi ni kudokolewa chakula chako.
PamokoAhsante kwa taarifa...
sahihItaendelea
Kwa hiyo unaona sawa teammate wangu kutolewa workshop na kupelekwa jikon kukata vitunguuhakuna ulichokutana nacho hapo mkuu we kinachokusumbua ni uchoyo
Hongera kwa kupata nafas ya kuchekaWallaaah vile nimechekaaa