Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,773
- 3,160
Aya hongera tumekuona umepanda ndege
Spanishboy what's the matter???
...unataka kujifunzia somo la " creative writing " through jf????
...labda kwa faida ya wengine, ulitaka tupate ujumbe gani??
...by the way HONGERA KWA KUPANDA NDEGE!
USHAURI
...hiyo thread ungeandika yoote kama inavyojionyesha kwenye hiyo blog sijui ya TABIA NCHI
...coz ameandika / umeandika vizuri na ina make sense...
...next time ukija na same issue concerning DODOMA then proper plan is inevitable!!!
Dar moro saa 1, je hiyo ndege ikienda mwanza si itakuwa 5 hours,
Au ikienda usa si ndio safari ya mwezi mzima
hahahaaa mkuu umeniacha hoi.....basi bora kiberenge kile kinachopita kwa reli kuliko huo mdegeeDar moro saa 1, je hiyo ndege ikienda mwanza si itakuwa 5 hours,
Au ikienda usa si ndio safari ya mwezi mzima
99,000 all inclusivenauli bei gani kamanda
99,000 all inclusivehailweki vip kama kuwakomboa wana na moro nauli sh ngapi?
weka gharama uliyotumia kama nauli. Ili tuweze kujua kama nasi tunaweza kuafodi ama laaa.
Spanishboy what's the matter???
...unataka kujifunzia somo la " creative writing " through jf????
...labda kwa faida ya wengine, ulitaka tupate ujumbe gani??
...by the way HONGERA KWA KUPANDA NDEGE!
USHAURI
...hiyo thread ungeandika yoote kama inavyojionyesha kwenye hiyo blog sijui ya TABIA NCHI
...coz ameandika / umeandika vizuri na ina make sense...
...next time ukija na same issue concerning DODOMA then proper plan is inevitable!!!
asante na kweli kazitunayoooooAya hongera tumekuona umepanda ndege
N
Hata tulipowauliza watu wanaoishi maeneo ya modeko karibu na uwanja huo nao hawakujua geti lilipo (hapa inabidi kufanyike matangazo ya kutosha na kuweka bando kubwa kwenye barabara ya kuingia uwanjani hapo).