Niliyo yaona katika safari yangu ya Cameroon

Niliyo yaona katika safari yangu ya Cameroon

mtafuta-maisha

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
1,982
Reaction score
2,934
1. Kuna vyakula vya kila aina vingi na ni bei rahisi kwasababu serikali ina control bei za bidhaa huwezi kukuta mtu anajipangia bei ovyo ovyo.
Kuna vyakula vya kila namna mfano ukinunua mkate utaulizwa uwekewe maharage, au chocolate, au samaki wa mchuzi au wa kubanikwa, au butter n.k
2. Ni wakarimu sana hasa kwa wageni hata polisi wakijua wewe ni mgeni wana kutreat kwa heshima siyo kama hapa wageni ni mtaji kwa polisi.
3. Ni wapenda mazoezi na ni magiant kuanzia wanawake mpaka wanaume kufanya mazoezi kwao ni kama culture.
4. Pesa yao ina thamani kuliko yetu na unaweza itumia kokote na ya west africa mfano 100USD kwao ni kama 50000 cefa.
Ila mzunguko wa pesa ni mdogo sana kupata pesa ni ngumu.
5. Kufungua biashara kuna vibari vingi na siyo kama huku eti unakuta mtu ana duka la nguo anauza karanga na vocha kwao hakuna. Kama ni duka la nguo la nguo tu.
6. Huduma za afya ni za kiwango cha juu sana yani sijawahi kuona Tanzania hata kwenye hospital kubwa. Ukienda hospital kule utaflshiwa mwili kabla ya kuwekewa dawa yoyoyote na kila mara wakibadirisha dawa wana kuflash kwanza mwili pia utazungumza na dr atakuuliza matatizo yako kuanzia unywele mpaka unyayo. Hakuna madawa fake wana dawa inafanana panadol ukiwa na kikihozi unameza kidonge kimoja tu kwisha habari yake.
7. Hakuna daladala wana vigari kama passo ndo taxi zao.
8. Wana socialize sana hata kwenye usafiri wa umma siyo kama huku mtu mmoja anaweza anzisha story wote wanachangia yani hakuna ile eti unakaa kimya ni makelele mwanzo mwisho. Hata ukiwa barabarani mtu anakuchangamkia kama anakujua ni wakarimu sana.
9. Miji yao haijajengwa kama huku watu hawana ela kama huku maana kupata ela kwao ni ngumu sana ila kula unakula sana.
10. Kuna baridi kama la mbeya na mvua kila mara.
11. Bado wanaheshimu sana mila zao na ni vigumu kukuta watoto wanafanya mapenzi halafu madada wa kule hawagawi uroda kama soda kugawa uroda kwao ni ngumu sana.
12. Kuna upungufu wa mabinti warembo maana mabinti wengi mabaunsa na wana sura kama za kaka zao.
13. Cameroon imegawanyika katika sehemu mbili, wanakozungumza kingereza na wanaozungumza kifaransa. Wanakozungumza kifaransa wamesoma sana na ndiyo wanajiona wajanja hata raisi wao ametoka katika jamii ya wafaransa.

Haya ni machache niliyo yashuhudia Cameroon bila kusahau kwamba wanakula panya na ngedere na wanajua kupika kweli kweli siyo kama sisi.
 
1. Kuna vyakula vya kila aina vingi na ni bei rahisi kwasababu serikali ina control bei za bidhaa huwezi kukuta mtu anajipangia bei ovyo ovyo.
Kuna vyakula vya kila namna mfano ukinunua mkate utaulizwa uwekewe maharage, au chocolate, au samaki wa mchuzi au wa kubanikwa, au butter n.k
2. Ni wakarimu sana hasa kwa wageni hata polisi wakijua wewe ni mgeni wana kutreat kwa heshima siyo kama hapa wageni ni mtaji kwa polisi.
3. Ni wapenda mazoezi na ni magiant kuanzia wanawake mpaka wanaume kufanya mazoezi kwao ni kama culture.
4. Pesa yao ina thamani kuliko yetu na unaweza itumia kokote na ya west africa mfano 100USD kwao ni kama 50000 cefa.
Ila mzunguko wa pesa ni mdogo sana kupata pesa ni ngumu.
5. Kufungua biashara kuna vibari vingi na siyo kama huku eti unakuta mtu ana duka la nguo anauza karanga na vocha kwao hakuna. Kama ni duka la nguo la nguo tu.
6. Huduma za afya ni za kiwango cha juu sana yani sijawahi kuona Tanzania hata kwenye hospital kubwa. Ukienda hospital kule utaflshiwa mwili kabla ya kuwekewa dawa yoyoyote na kila mara wakibadirisha dawa wana kuflash kwanza mwili pia utazungumza na dr atakuuliza matatizo yako kuanzia unywele mpaka unyayo. Hakuna madawa fake wana dawa inafanana panadol ukiwa na kikihozi unameza kidonge kimoja tu kwisha habari yake.
7. Hakuna daladala wana vigari kama passo ndo taxi zao.
8. Wana socialize sana hata kwenye usafiri wa umma siyo kama huku mtu mmoja anaweza anzisha story wote wanachangia yani hakuna ile eti unakaa kimya ni makelele mwanzo mwisho. Hata ukiwa barabarani mtu anakuchangamkia kama anakujua ni wakarimu sana.
9. Miji yao haijajengwa kama huku watu hawana ela kama huku maana kupata ela kwao ni ngumu sana ila kula unakula sana.
10. Kuna baridi kama la mbeya na mvua kila mara.
11. Bado wanaheshimu sana mila zao na ni vigumu kukuta watoto wanafanya mapenzi halafu madada wa kule hawagawi uroda kama soda kugawa uroda kwao ni ngumu sana.
12. Kuna upungufu wa mabinti warembo maana mabinti wengi mabaunsa na wana sura kama za kaka zao.
13. Cameroon imegawanyika katika sehemu mbili, wanakozungumza kingereza na wanaozungumza kifaransa. Wanakozungumza kifaransa wamesoma sana na ndiyo wanajiona wajanja hata raisi wao ametoka katika jamii ya wafaransa.

Haya ni machache niliyo yashuhudia Cameroon bila kusahau kwamba wanakula panya na ngedere na wanajua kupika kweli kweli siyo kama sisi.

Kuflash mwili? Sorry, sijakuelewa exactly wanaufanya nini mwili hapa!
 
Kila chochote kilicho na ubaya, kina uzuri ndani yake. Na kila kilicho kizuri sana kina ubaya pia.


Hongera kwa ulichokiona na kujifunza huko Cameron.

Mimi binafsi napenda mifumo huria. Mfano zogo kwenye daladala, ujuajijuaji, kudandia story nk.



'Hofu iko pande zote"
 
Habari bila picha/video clip sawa na taka taka tu
 
Mapishi mengine wali wao hawaweki mafuta ila unachambuka. Wanakula sana pilipili na hawanywi chai wanakunywa kahawa sukari yao iko katika cubes yani hata ya 100 unapata.
Vyakula hivi hivi vya kwetu wanavipka tofauti na vinakuwa vitam sana
Ahsante Mkuu umesema wanajua sana kupika unamaanisha hao PANYA au na mapishi
mengine kwa ujumla? , HAWAGAWI OVYO...Ina maana huko hakuna machangudoa?
 
1. Kuna vyakula vya kila aina vingi na ni bei rahisi kwasababu serikali ina control bei za bidhaa huwezi kukuta mtu anajipangia bei ovyo ovyo.
Kuna vyakula vya kila namna mfano ukinunua mkate utaulizwa uwekewe maharage, au chocolate, au samaki wa mchuzi au wa kubanikwa, au butter n.k
2. Ni wakarimu sana hasa kwa wageni hata polisi wakijua wewe ni mgeni wana kutreat kwa heshima siyo kama hapa wageni ni mtaji kwa polisi.
3. Ni wapenda mazoezi na ni magiant kuanzia wanawake mpaka wanaume kufanya mazoezi kwao ni kama culture.
4. Pesa yao ina thamani kuliko yetu na unaweza itumia kokote na ya west africa mfano 100USD kwao ni kama 50000 cefa.
Ila mzunguko wa pesa ni mdogo sana kupata pesa ni ngumu.
5. Kufungua biashara kuna vibari vingi na siyo kama huku eti unakuta mtu ana duka la nguo anauza karanga na vocha kwao hakuna. Kama ni duka la nguo la nguo tu.
6. Huduma za afya ni za kiwango cha juu sana yani sijawahi kuona Tanzania hata kwenye hospital kubwa. Ukienda hospital kule utaflshiwa mwili kabla ya kuwekewa dawa yoyoyote na kila mara wakibadirisha dawa wana kuflash kwanza mwili pia utazungumza na dr atakuuliza matatizo yako kuanzia unywele mpaka unyayo. Hakuna madawa fake wana dawa inafanana panadol ukiwa na kikihozi unameza kidonge kimoja tu kwisha habari yake.
7. Hakuna daladala wana vigari kama passo ndo taxi zao.
8. Wana socialize sana hata kwenye usafiri wa umma siyo kama huku mtu mmoja anaweza anzisha story wote wanachangia yani hakuna ile eti unakaa kimya ni makelele mwanzo mwisho. Hata ukiwa barabarani mtu anakuchangamkia kama anakujua ni wakarimu sana.
9. Miji yao haijajengwa kama huku watu hawana ela kama huku maana kupata ela kwao ni ngumu sana ila kula unakula sana.
10. Kuna baridi kama la mbeya na mvua kila mara.
11. Bado wanaheshimu sana mila zao na ni vigumu kukuta watoto wanafanya mapenzi halafu madada wa kule hawagawi uroda kama soda kugawa uroda kwao ni ngumu sana.
12. Kuna upungufu wa mabinti warembo maana mabinti wengi mabaunsa na wana sura kama za kaka zao.
13. Cameroon imegawanyika katika sehemu mbili, wanakozungumza kingereza na wanaozungumza kifaransa. Wanakozungumza kifaransa wamesoma sana na ndiyo wanajiona wajanja hata raisi wao ametoka katika jamii ya wafaransa.

Haya ni machache niliyo yashuhudia Cameroon bila kusahau kwamba wanakula panya na ngedere na wanajua kupika kweli kweli siyo kama sisi.
Hebu fafanua kidogo hapo kwenye 7 na 8. 7.Hawana daladala wanatumia vi Passo.
8. Wakiwa kwenye usafiri wa umma ni full story...

Tofauti ya daladala na usafiri wa umma ni nini?
 
Back
Top Bottom