welcome baby! karibu sana, actually,infact,of course, we MISSED you alot!
Njoo niku nong'oneze basi!
welcome back Lizzy,na Ashadii sijui atarudi lini...
Hato kachanga kape jina Judgement , katafanikiwa katika uwepo wake hapa under the Sun.
Alafu we Yummy wewe..!!!
mmmmhhhhh!!!!Karibu tena LIzzy,
Naamini wale waliokuwa na wasi wasi wataridhika kuwa wewe na Babu kila mtu alikuwa na safari yake....
Babu DC!!!
Welcome back bibie!
Ulikuwa wapi jamani...
Tulikumiss pia.
hivi kwa nini Lizzy hukuniaga? tumekoseana nini?
welcome baby! karibu sana, actually,infact,of course, we MISSED you alot!
happy to see you back, nilikuwa napanga mbinu ya kukutoa huko ulikokuwa.
Kaka PakaJimmy basi huyo tutamchinja siku ya Ramadhan. . ntakuja na mchele na mafuta nipate msamaha.Mi nina kesi na wewe...Yule mbuzi bado nimemhifadhi kwa Wamasai kule kwa Moromboo...Blaki Womani pekee ndiye anayeweza kusuluhisha kesi hii.
By ze way karibu sana jamvini.
mmmmhhhhh!!!!
what a coincidence?