Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,368
- 94,637
Exactly 😹Basi na sisi wadogo zako tuko 🔥🔥🔥
Maana sijafananishwa na vitu vya ajabu.😊
Exactly 😹Basi na sisi wadogo zako tuko 🔥🔥🔥
Maana sijafananishwa na vitu vya ajabu.😊
😘Exactly 😹
Wewe ume copy story ya watu wewe ni mqunduWakuu hamjambo nyie madogo na wale wakubwa heshima yenu aisee....
Nikiwa nimemaliza degree yangu na matumaini kibao aisee haya maisha haya yamenifanya kuwa na nidhamu sana.
1. Mtiti ulianza home nilikuwa na chumba changu cha nje sjui kilitokea nn mzee one day ananitumia sms kwamba nikiwa natoka basi nikabidhi key kwa mama ( wa kambo ).
Ukweli nilikuwa natoka asubuhi narudi usku si kwamba nilikuwa naenda kuzurula hapana kutafuta hata kazi tu ya kujitolea .
Nilijibu ile sms kwa kumwambia mzee anipe wiki 1 nihame kabisa mi staki maneno maana maisha yashaanza kunichanganya. Hakujibu ila nilifanya hivyo akakatalia kitanda nikawaachia nikasepa zangu kuanza maisha enzi hizo goba bado sn nalala chini kwenye mkeka, asubuhi naamka natembea kwa mguu mpka posta aloooo.
Nilikuwa na demu wangu 1 akabeba mimba uzuri yeye alikuwa ameajiliwa ni mwalimu but naye alikuwa kichomi sana aisee, sasa kazi ikabaki kwangu nilikuwa natoka asubuhi sana home sjui naenda wapi sjui naenda kutafuta nn mfukoni sina hata 200 ya mihogo.
Natembea kwa mguu goba, mbezi luis, to kkoo to posta kisha narudi sina hali na hakuna wa kunionea huruma.
Sjui kula yangu wala kunywa yangu mwanamke hanielewi na wakati mwngne anasepa kaacha mtoto ndani sina hata 100 niliteseka sn, ajabu wenye maduka walikuwa wananiamini sn sjawahi enda dukani kukopa nikakosa lazma wanipe tu wengne nililipa wengne skulipa aloooo.
Kuna wakati nilitembea kwa mguu nikaenda tulia chini ya daraja fulani nkapitiwa usingzi aisee ile nashtuka nakuta nimezungukwa na ma kenge kama 50 hivi sjui ndo yalikuwa yanajipanga kunivamia nilikimbia hata sjui nilikiwa naelekea wapi 😴.
NILIAMUA KUFUNGUA BIASHARA YA KUCHOMA MAHINDI
Ila nyie mahindi yenyewe sjui kuchoma yakawa yanaungua tu mara mi siuzi wenzangu wanamaliza mi siuzi kbs nikaifunga skuwahi pata faida yoyote ile zaidi ya hasara huku namuwazia mwanangu home maana mwanamke haelewi.
Taendelea....
Kama ipo huko niliko copy lete hapa nitaomba radhi kbs na kufuta kila kitu najiamin nasimulia my really life niliyoptiaWewe ume copy story ya watu wewe ni mqundu
inasikitisha... Sana mkuu....Kama ipo huko niliko copy lete hapa nitaomba radhi kbs na kufuta kila kitu najiamin nasimulia my really life niliyoptia
Nashukuru kwa kuniita mkund hata kwetu mpo kama nyie 100 kipi sjaskia...
DaahNAENDELEA PARTY 2
USIKU MMOJA NAKAMATWA ETI NIMEIBA MEZA YA WATU YA BIASHARA
Usku mmoja nikiwa narudi home nimechoka nina njaa kiu hopeless nikawaza nyumbani kuna viunga vilibaki nikifka nikoroge uji bila sukari ninywe maana najua mwanamke wng atakuwa kapka na hajanibakizia kitu.
Nikapata wazo nikakope vimchele nusu na mafuta hata ya 200 nikifka nipike, kweli nilipata ila sasa moto wa kupikia natoa wp🤔 wakati nipo njian nawaza hapo ni usku wa saa nne, nikapata wazo nitafute vikuni nifke niwashe nipike.
Wakati natembea njian nikaona limeza bovu bovu la mbao lipo njiani aaah saa ngapi nisilibebe ili nipate Kuni nikiwa natembea mdogo mdogo nmekaribia kbs home nashangaa jamaa mmoja mbavu ananisimamisha na kunihoji meza nimetoa wp hiyo ni meza ya BIASHARA ya ndugu yake.
Nikiwa bado najitetea sn kwa huruma labda jamaa anielewe kwamba mi nina shida tu jamaa akasema turudi nilipoitoa.
Na pana umbali nikaongoza njia mpka nilipoitoa akampgia simu mwenye mali aje haraka mwizi wa meza yake kakamatwa jamaa akasema huyo mwizi mlete nyumbani.
Nikabeba tena mmeza mzito tukapga masafa mpka huko kwa huyo mwenye meza aisee akanihoji hoji pale kisha akanambia beba hiyo meza ipeleke sehemu fulani kisha uende zako.🤲 Nikashukuru nikabeba na kuipeleka alikosema nikasepa..
Zangu mchele wenyewe ulidondoka huko njiani wakati nimekatishwa na yule jamaa na skuupata nilifika home mwanamke kalala na hakuna menu nikacheck nikaona ukoko wa ugari uliomwagiwa maji nikachukua nikala tena upo kwenye maji machafu skuwa na namna nikanywa na maji nikalala.
TAENDELEA...
Kwa huyo mwanamke ulijichanganya sana.NAENDELEA
PART 5
NAPATA KAZI YA KUOSHA MAGARI MBEZI LUIS KABLA STEND HAIJAJENGWA.
Nimetoka zangu goba kwa mguu sjui naelekea wapi nikaenda mpaka mbezi luis nikashika ile njia ya kwenda kibaha nikiwa natembea hata sjui naenda kwa nani mara nikakuta jamaa mmoja anaosha madaladala njiani...
Nikampa hi kisha nikamwambia nataka kusaidia kazi japo nipate chochote, jamaa akanambia karibu kwa leo maana mwenzie hajaja kazini.
Kweli nikaanza kazi na sjawahi osha magari aisee nilipambana sana kufanya usafi ndani ya gari na nje ya gari pia kusugua gari itakate.
Nilipga kazi hatari sana nina njaa nina kiu hakuna wa kunionea huruma.
Makondakta na madereva wakawa wananipa nguo zao za kazi kuwafulia nikijua wananilipa chochote but hola nilifua niliosha magari mpka kwenye saa 12 jioni hivi jamaa akanipa elfu 5 tu ila nilishukuru sana aisee.
Nikatoka hapo nikaanza kupiga mguu kurudi home nikanunua juisi ya 500 na vitumbua vya 500 nikawa natafuna huku narudi zangu home na elfu 4 mfukoni kishujaaa.
Nilipofika home nakuta mwanamke kanuna nikampa ile elfu 4 nikamwambia bs kama kuna cha kumnunulia mtoto amnunulie ingawa walikuwa wameshakula maana si mnajua mwanamke yeye alikuwa kaajiliwa ni mwalimu wa secondary.
Kesho kumekucha nikasema wacha niende palepale kwenye kuosha magari nikamkuta mwamba nikaanza kupiga kazi hatari sn mpaka jioni kwenye saa 12 hivi jamaa ananifata ananiambia leo hamna hela kwani hela yote kampa bosi hapo sjala, sjanywa wala sina kitu kbs sionewi huruma na mtu.
Nilishiwa pozi ila ndo ivyo nimefanya kazi bure tu ya kuwaingzia watu hela huyooo nikatoka mdogo mdogo kurudi home nina kiu, njaa, nimechoka sn kwa kazi na sina hela hata mia.
Natembea kwa mguu tena toka mbezi to goba alooo nmefika home mwanamke nikamkuta katulia zake na mtoto wameshakula wapo wanabembelezana, daaah no menu hakuna nilichobakishiwa.
Mkumbuke sjala wala kunywa toka asubuhi hapo na nimetenbea kwa mguu nenda rudi, mi binafsi ni mkimya sn so nilipoona hapa hakuna msosi nilinyamaza tu nikatafuta maji nikaoga nikalala kimyaaa yaliyonikuta huko nilikokuwa ni siri yangu na Mungu wangu.
NITAENDELEA....
kwa kweliInasikitisha sana
Genre of Literature: fiction writer Choosen85NAENDELEA PARTY 2
USIKU MMOJA NAKAMATWA ETI NIMEIBA MEZA YA WATU YA BIASHARA
Usku mmoja nikiwa narudi home nimechoka nina njaa kiu hopeless nikawaza nyumbani kuna viunga vilibaki nikifka nikoroge uji bila sukari ninywe maana najua mwanamke wng atakuwa kapka na hajanibakizia kitu.
Nikapata wazo nikakope vimchele nusu na mafuta hata ya 200 nikifka nipike, kweli nilipata ila sasa moto wa kupikia natoa wp🤔 wakati nipo njian nawaza hapo ni usku wa saa nne, nikapata wazo nitafute vikuni nifke niwashe nipike.
Wakati natembea njian nikaona limeza bovu bovu la mbao lipo njiani aaah saa ngapi nisilibebe ili nipate Kuni nikiwa natembea mdogo mdogo nmekaribia kbs home nashangaa jamaa mmoja mbavu ananisimamisha na kunihoji meza nimetoa wp hiyo ni meza ya BIASHARA ya ndugu yake.
Nikiwa bado najitetea sn kwa huruma labda jamaa anielewe kwamba mi nina shida tu jamaa akasema turudi nilipoitoa.
Na pana umbali nikaongoza njia mpka nilipoitoa akampgia simu mwenye mali aje haraka mwizi wa meza yake kakamatwa jamaa akasema huyo mwizi mlete nyumbani.
Nikabeba tena mmeza mzito tukapga masafa mpka huko kwa huyo mwenye meza aisee akanihoji hoji pale kisha akanambia beba hiyo meza ipeleke sehemu fulani kisha uende zako.🤲 Nikashukuru nikabeba na kuipeleka alikosema nikasepa..
Zangu mchele wenyewe ulidondoka huko njiani wakati nimekatishwa na yule jamaa na skuupata nilifika home mwanamke kalala na hakuna menu nikacheck nikaona ukoko wa ugari uliomwagiwa maji nikachukua nikala tena upo kwenye maji machafu skuwa na namna nikanywa na maji nikalala.
TAENDELEA...
Poor fiction writer; i.e Misuse of puntuation marks, no paragraph e.t.cNAENDELEA PARTY 3
NATELEKEZEWA MTOTO MCHANGA WA MIEZI 2.
Aisee siku usku nilirudi na unga wa ngano na mafuta na sukari nikiwa na lengo la kutengeneza maandazi ili angalau cha kutafuna kiwepo home hata kama mwanamke ataamua kupka kivyake bs na mimi niwe na cha kujishikiza.
Nilifika home saa 5 usku nikawasha jiko, nikakanda unga bahati nzuri mwanamke naye akaamka akawa ananisemesha hapo namjibu vzuri ukzngatia pia mi ni mkimya sn skuwa na ugonvi naye wala.
Huku nachoma maandaz yangu mdogo mdogo mpka namaliza yeye kalala, kumekucha akajiandaa kwenda kazn kwake na alikuwa anaondoka na mtoto anamuacha kwa mama ake mdogo, nikiwa ndani na mtoto naona kimya mtu harudi ndani.
Kumbe ameshasepa katoroka mtoto ana miezi 2 tu mara mchana huo mtoto analia njaa hatari sn nikapata wazo nimkorogee uji mwepesi sn nimnyweshe yes nikafanya hivyo kwa tahadhari sn kakanywa kakalala mara jioni hii mara usku huu sioni mtu kurudi home.
Nikakapa tena uji kakanywa kakalala kesho asubuhi kimya sioni mtu nikaenda kutoa taarifa polisi na nikamwambia na mama yake kuptia simu, bs sku ya pili tena kimya nipo na kichanga nalala njaa nashinda njaa ndani kuna viunga ndo natumia kudanganyishia mtoto siwezi vitumia mm.
Siku ya 3 mchana napigiwa simu namba mpya na mtu aliyejitambulisha ni polisi kwamba nashitakiwa na mdada mmoja akamtaja majina ni yule demu wangu nashitakiwa eti nimempga wakati skumpga na usku tulilala vema tu tena kwa amani.
Nikamjbu polisi mi kuja huko haina shida ila shida huyo mdada kaniachia mtoto wa miezi 2 natokaje sasa kuja huko, nikasikia wanamfokea kwann kaacha mtoto mchanga simu ikakatwa.
Usku wa siku hiyo alirudi kwa kuletwa na mama mchungaji wake na mama mwngn usku wa saa saba nagongewa mlango hapo mtoto ana sku 3 hanyonyi..
Wakanisihi niwe mpole tu kwani wameshamkea mi nilinyamaza tu akaingia ndani ananuka majasho hatari sjui huko alikuwa haoigi.
Kesho yake namuhoji ulienda wp akadai aliamua kuondoka na kupanga chumba kuanza maisha yake yaani anaongeaongea tu ujinga wakati vitu vyake vyote aliacha home nilipo.
ITAENDELEA...
😂Pole sana Mkuu
Utaenda kula raha mbinguni
Ila najiuliza ilikuaje mwanamke ni mwalimu kaajiriwa halafu hali ikawa hivyo au alikuwa anajitolea?Kama ipo huko niliko copy lete hapa nitaomba radhi kbs na kufuta kila kitu najiamin nasimulia my really life niliyoptia
Nashukuru kwa kuniita mkund hata kwetu mpo kama nyie 100 kipi sjaskia...