Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 28,538
- 83,020
Nimeipenda sana! Nachomshauri ajitahidi kuvunja laana za ukoo wa babaye, kama kweli alifanya hilo jambo, linaweza kutafuna kizazi na kizazi ikiwemo yeye pia(mleta mada) kuna njia za kiroho haya mambo yanatokea, unajikuta umerithi ushenzi wa babako’.. ajinyofoe kabisa hapo! Aisee..!Seran pita hapa upate chochote kitu