Kisa: Nilivyowahi maishani

Kisa: Nilivyowahi maishani

Seran pita hapa upate chochote kitu
Nimeipenda sana! Nachomshauri ajitahidi kuvunja laana za ukoo wa babaye, kama kweli alifanya hilo jambo, linaweza kutafuna kizazi na kizazi ikiwemo yeye pia(mleta mada) kuna njia za kiroho haya mambo yanatokea, unajikuta umerithi ushenzi wa babako’.. ajinyofoe kabisa hapo! Aisee..!
 
Huo ndio uanaume hakukimbia jukumu halafu sio kujipanga yy sii shoga ni rijali
Tunatofautiana uwezo wa kufikiria ....Uliposimama wewe ni sahihi kuwa na uono huo.....nafikiri somo la uzazi lingefanywa lazima mpaka makanisani na misikitini
 
Kwa huyo mwanamke ulijichanganya sana.
Ukiona mtu anafikia hatua ya kukunyima chakula wakati anacho, hutakiwa hata kuwa karibu nae.
Aisee hii story ndio naiona leo na mpk naandika hii comment nipo oage ya nne sijui nini kiliendelea mbele,lkn ;imehisi hili jambo hakuna mwanamke hapo,hivi kweli mwanamke awe mwalimu wa secondary then maisha ya familia yawe kama haya anayohadithia jamaa duh sidhani aisee!
 
Nimesoma story yote nimemaliza,mpaka kufikia hapa nachoweza kusema na niluchigundua ni kwamba chanzo cha mateso yotr hayo ni kwamba jamaa alikuwa anafungwa kiuchawi na hao ndugu zake asiendelee kimaisha,pona yake ilikuwa kuhama na kukaa mbali nao..Maana kwa misukosuko aliyokuwa anasimulia aisee inarelate ssna na mtu aliyefungwa kichawi asiendelee kimaisha
 
nako siku 1 mchungaji akaniita kwake akaniomba niwaazime kanisani shs 150,000 baada ya wiki 1 itarudi nikasema hiyo sawa nikampa nikitegemea ni waaminifu itarudi mfukoni nikabaki na elfu 40 tu, wakuu skulipwa pesa yangu yaani skurudishiwa mpaka kesho alooo.

At last nilichafuliwa sana na mchungaji kwa washirika maana niliamua kuachana na mambo ya kanisani kabisa maana niliona kumbe hata hawa wachungaji nao ni walewale nikaamua jifunza kufanya meditation tu siyo mambo ya dini tena.
Kisa kama hiki kilinifanya nimlombe mama mchungaji angalau nikapata amani.
 
imeisha hiyo, nilitaka nishangae story iishe jf?

mkuu tupe tu link ya telegram tukalipie huko, maana ndo kinachofuataga
 
Hakika duniani unaweza hisi unamitihani ila kuna walio kuzidi ila nilicho jifunza ndugu ni wa kuwa nao makini na kukaa nao mbali sana sana huwa siyo watu wazuri.
 
Ila, hivi kuanzisha family (ngono zembe) wakati hali ngumu hivyo inatokeaje hii Kiongozi?

Huyo binti hata kutaka kuondoka ni ugumu wa maisha tuu, msoto huu uwe mwenyewe, ukileta wategemezi inakuwa balaa mara mbili elfu.
Lakini huyo Binti kasema alikua Teaches na hajasema Alikua Mwalimu wa Serikali au Binafsi
 
Back
Top Bottom