Chica Gee
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 3,354
- 9,419
Mpaji Mungu njoo na huku
Samahani, nilikuita dogo kumbe ni kaka yangu kabisa! Nisamehe saba mara sabini. Mimi ni mdogo wako kabisaaaa! [emoji120]Sasa ni 34 na mwez wa 9 takua na 35
Nlipitia hii story mwanzoni sikuendelea sanaMpaji Mungu njoo na huku
Hii Mbeya mojaMsoto mi ulianza nimemaliza tu Six, home hakukaliki, huyooo naenda zangu Uhindini mtaa wa Bhojani kuosha magari au kufuta vioo.
Kuna siku sina hili wala lile akapita mwalimu aliyenifundisha Accountancy Mwl Mwasalanga aisee niliona noma kinomanoma.
Mungu ni mwema sahizi naelewa nini maana ya "soto" na nshakuwa dingi.
Ndiyo mkuu alafu nilikuwa naenda kula ugali nyama choma "Mwiboma"Hii Mbeya moja
Haha haha Mwiboma kuna babu alikuwa anachoma nyama ya ukweli sana aiseee.Ndiyo mkuu alafu nilikuwa naenda kula ugali nyama choma "Mwiboma"
Ila palishabomolewa sijui panajengwa nini pale, mazingira yamebadirika sana hadi mitaa ya Mbeya RETCO kule kumebadirika sana.Haha haha Mwiboma kuna babu alikuwa anachoma nyama ya ukweli sana aiseee.
Baada ya kimya cha miaka mingi sana, hatimaye mwaka huu wa frdha wataanza ujenziIla palishabomolewa sijui panajengwa nini pale, mazingira yamebadirika sana hadi mitaa ya Mbeya RETCO kule kumebadirika sana.
Dah, namiss hometown, currently niko Usukumani huku napambania kombe.Baada ya kimya cha miaka mingi sana, hatimaye mwaka huu wa frdha wataanza ujenzi
Safi sana kaka. Mungu akutangulie kwenye shughuli zakoDah, namiss hometown, currently niko Usukumani huku napambania kombe.
Pamoja sana kaka, namisi na ulanzi wa Kalobe.Safi sana kaka. Mungu akutangulie kwenye shughuli zako
Ni nzuriNlipitia hii story mwanzoni sikuendelea sana