mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,769
- 2,171
Wanajanvi napenda kuweka kumbukumbu ya jinsi nilivyopiga kura baada ya mfumo wa vyama vingi kurudi. Hii ni kwa ajili ya kura
za urais tu
1. Mwaka 1995 - Augustino Mrema
2. Mwaka 2000 - Prof Ibrahim Lipumba
3. Mwaka 2005 - Freeman Mbowe
4. Mwaka 2010 - Dr.Wilbrod Slaa
5. Mwaka 2015 - Edward Lowassa
6. Mwaka 2020 - Tundu Lissu
Hii ndio historia yangu ya upigaji kura za Rais. Mwaka 2025 nampigia Mama yetu Samia Suluhu Hassan. Nimeshawastukia marais wanaume.
Wanazengua sana! Unganeni nami jamani tuendelee kutabasamu na kujwa furaha hadi 2030!
za urais tu
1. Mwaka 1995 - Augustino Mrema
2. Mwaka 2000 - Prof Ibrahim Lipumba
3. Mwaka 2005 - Freeman Mbowe
4. Mwaka 2010 - Dr.Wilbrod Slaa
5. Mwaka 2015 - Edward Lowassa
6. Mwaka 2020 - Tundu Lissu
Hii ndio historia yangu ya upigaji kura za Rais. Mwaka 2025 nampigia Mama yetu Samia Suluhu Hassan. Nimeshawastukia marais wanaume.
Wanazengua sana! Unganeni nami jamani tuendelee kutabasamu na kujwa furaha hadi 2030!