fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,737
- 7,443
SEHEMU YA KWANZA:NAANDAA ULIMBO
Wadau salama,hili tukio lilitokea miaka mingi iliyopita,kwenye ile wilaya ya mkonze mkoani Tabora.Kipindi hicho nilikuwa kidato cha kwanza na nimerejea kwetu kutoka masomoni,mkoani Tabora.
Nilivyorudi nikaambiwa kuwa kuna mtoto mrembo mno kaja kwenye huo mji wetu.
Nikamfuatilia nikajua kuwa anaishi kwa kaka yake mtaa mmoja maeneo ya uzunguni na kaka yake alikuwa dokta
Ni mdada mweusi,mnene wa wastani,ana bunyanga zuri tu.Alikuwa na nywele nzuri mno na nikamtamani sana na nikaingia mzigoni.
Kipindi hicho nilikuwa na rafiki yangu ni mtumishi,amepanga mtaa wa Tabora na alikuwa hana mke kipindi hicho.Huyo rafiki yangu kwangu alikuwa ni kaka na alikuwa akinifunza mambo mengi mno,ikiwemo mchakato mzima wa sex.Itaendelea................
Wadau salama,hili tukio lilitokea miaka mingi iliyopita,kwenye ile wilaya ya mkonze mkoani Tabora.Kipindi hicho nilikuwa kidato cha kwanza na nimerejea kwetu kutoka masomoni,mkoani Tabora.
Nilivyorudi nikaambiwa kuwa kuna mtoto mrembo mno kaja kwenye huo mji wetu.
Nikamfuatilia nikajua kuwa anaishi kwa kaka yake mtaa mmoja maeneo ya uzunguni na kaka yake alikuwa dokta
Ni mdada mweusi,mnene wa wastani,ana bunyanga zuri tu.Alikuwa na nywele nzuri mno na nikamtamani sana na nikaingia mzigoni.
Kipindi hicho nilikuwa na rafiki yangu ni mtumishi,amepanga mtaa wa Tabora na alikuwa hana mke kipindi hicho.Huyo rafiki yangu kwangu alikuwa ni kaka na alikuwa akinifunza mambo mengi mno,ikiwemo mchakato mzima wa sex.Itaendelea................