wanajamvi wenzangu najua sote tutafutao kazi ipo siku tutapata na haya yoote yanayotupata kipindi hiki kigumu yatabaki stori, hata sisi ambao tulishapata bado tunaangalia green pasture ndo maana kutafuta kazi kwa msomi ni safari isiyo na mwisho..... katika harakati zangu za kutafuta kazi niliitwa interview na Jeshi la Polisi kufanya Interview Kule Kilwa Road, kwakweli sitasahau wadau.....nilikuwa natoa majibu ambayo yamebeba ujumbe ambao unamchoma mwajili yaani polisi.
swali la kwanza .... kwanini wewe ndiye hauko smart umevaa fulana chafu halafu chini umevaa sendoz unamaanisha nini.... honestlly nilijibu...Jeshi la Polisi lina sare zake, kwahiyo namaanisha niko tayari kuvaa magwanda hata leo, over..... woooote watano wakacheka sana... wakakaa kimia kwa muda.
swali la pili....... wewe vyeti vyako vinaonesha ulikuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi chuoni kwako, then chuo chako kimegubikwa na migomo mingi sana.... je hiyo inaaashiria nini? nikaanza kutiririka siku zote haki na usawa haviji bila kulichimba kwa nchi zetu hizi za dunia ya tatu zilizojaa ufisadi, rushwa na ukiukwaji wa haki za binadamu likiwemo jeshi lenu la polisi...... duh.... kidogo wanitie pingu....ukawa mzozo mle ndani. then ukaisha tukaendelea.....
inshort nilikuwa najibuu kwa kuwachoma.....amini usiamini mwisho wa siku niliiitwa kazini kwenda CCP moshi, ingawa nilikacha. sasa nimekuwa nikijiuliza walinipate nafasi kwa majibu hayo ya kifedhuli????
swali la kwanza .... kwanini wewe ndiye hauko smart umevaa fulana chafu halafu chini umevaa sendoz unamaanisha nini.... honestlly nilijibu...Jeshi la Polisi lina sare zake, kwahiyo namaanisha niko tayari kuvaa magwanda hata leo, over..... woooote watano wakacheka sana... wakakaa kimia kwa muda.
swali la pili....... wewe vyeti vyako vinaonesha ulikuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi chuoni kwako, then chuo chako kimegubikwa na migomo mingi sana.... je hiyo inaaashiria nini? nikaanza kutiririka siku zote haki na usawa haviji bila kulichimba kwa nchi zetu hizi za dunia ya tatu zilizojaa ufisadi, rushwa na ukiukwaji wa haki za binadamu likiwemo jeshi lenu la polisi...... duh.... kidogo wanitie pingu....ukawa mzozo mle ndani. then ukaisha tukaendelea.....
inshort nilikuwa najibuu kwa kuwachoma.....amini usiamini mwisho wa siku niliiitwa kazini kwenda CCP moshi, ingawa nilikacha. sasa nimekuwa nikijiuliza walinipate nafasi kwa majibu hayo ya kifedhuli????