PostGE2025 Nilitegemea Msigwa abebe waandishi kwenda Makaburi ya Kondo kuwaaibisha CNN kwa uongo, kaishia kutemea mate maiki bila ushahidi wowote

PostGE2025 Nilitegemea Msigwa abebe waandishi kwenda Makaburi ya Kondo kuwaaibisha CNN kwa uongo, kaishia kutemea mate maiki bila ushahidi wowote

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
440
Reaction score
3,211
Nilitegemea anayejiita Msemaji Mkuu wa Serikali na mtoa ufafanuzi mkuu Bwana Gerson Msigwa leo angebeba waandishi kwenda Makaburi ya Kondo kuwaaibisha CNN kwa uongo, kaishia kutemea mate maiki bila ushahidi wowote.

Nilitegemea aseme sasa ndugu zangu, CNN si wamesema kuna makaburi ya halaiki Kondo? Twendeni mkaone, mpige na picha. Lakini haijawa hivyo.

Kaishia tu kuongea nonsense, huku akidai kuwa Serikali haijatendewa HAKI. Hivi kweli hii serikali ndo imejua kuna kitu kinaitwa HAKI
duniani?

Lakini, yote tisa, kumi ni kuwa hajaikataa hiyo ripoti, na hakuna hata sentesi moja ya kukanusha, iwe kwa maneno matupu au kwa ushahidi. That means CNN wapo sahihi.
 
Nilitegemea anayejiita Msemaji Mkuu wa Serikali na mtoa ufafanuzi mkuu Bwana Gerson Msigwa leo angebeba waandishi kwenda Makaburi ya Kondo kuwaaibisha CNN kwa uongo, kaishia kutemea mate maiki bila ushahidi wowote.

Nilitegemea aseme sasa ndugu zangu, CNN si wamesema kuna makaburi ya halaiki Kondo? Twendeni mkaone, mpige na picha. Lakini haijawa hivyo.

Kaishia tu kuongea nonsense, huku akidai kuwa Serikali haijatendewa HAKI. Hivi kweli hii serikali ndo imejua kuna kitu kinaitwa HAKI
duniani?

Lakini, yote tisa, kumi ni kuwa hajaikataa hiyo ripoti, na hakuna hata sentesi moja ya kukanusha, iwe kwa maneno matupu au kwa ushahidi. That means CNN wapo sahihi.
Umefikiri kama mimi aisee?
 
Uwezekano mkubwa ndio press zake za mwisho mwisho hizo. Siku zinakuja atahojiwa na kuangalia press zake alizoitisha atatamani ardhi ipasuke aingie
 
Nilitegemea anayejiita Msemaji Mkuu wa Serikali na mtoa ufafanuzi mkuu Bwana Gerson Msigwa leo angebeba waandishi kwenda Makaburi ya Kondo kuwaaibisha CNN kwa uongo, kaishia kutemea mate maiki bila ushahidi wowote.

Nilitegemea aseme sasa ndugu zangu, CNN si wamesema kuna makaburi ya halaiki Kondo? Twendeni mkaone, mpige na picha. Lakini haijawa hivyo.

Kaishia tu kuongea nonsense, huku akidai kuwa Serikali haijatendewa HAKI. Hivi kweli hii serikali ndo imejua kuna kitu kinaitwa HAKI
duniani?

Lakini, yote tisa, kumi ni kuwa hajaikataa hiyo ripoti, na hakuna hata sentesi moja ya kukanusha, iwe kwa maneno matupu au kwa ushahidi. That means CNN wapo sahihi.
CCM taabani
 
Imagine mtu kama huyu ndo family member Dah! Naikana hiyo familia, nabadilisha ukoo na kuhama mpaka kabila

IMG-20251123-WA0029.jpg
 
Yule aliyedai yapo ndio anapaswa kuthibitisha madai yake kwa kutuonesha live bila chenga anachokisema.
 
Ajabu badala awaalike hao ambao hawajaitendea haki serikali, yeye amealika locals .
 
Nilitegemea anayejiita Msemaji Mkuu wa Serikali na mtoa ufafanuzi mkuu Bwana Gerson Msigwa leo angebeba waandishi kwenda Makaburi ya Kondo kuwaaibisha CNN kwa uongo, kaishia kutemea mate maiki bila ushahidi wowote.

Nilitegemea aseme sasa ndugu zangu, CNN si wamesema kuna makaburi ya halaiki Kondo? Twendeni mkaone, mpige na picha. Lakini haijawa hivyo.

Kaishia tu kuongea nonsense, huku akidai kuwa Serikali haijatendewa HAKI. Hivi kweli hii serikali ndo imejua kuna kitu kinaitwa HAKI
duniani?

Lakini, yote tisa, kumi ni kuwa hajaikataa hiyo ripoti, na hakuna hata sentesi moja ya kukanusha, iwe kwa maneno matupu au kwa ushahidi. That means CNN wapo sahihi.
Msigwa anaweza asielewe hiyo location. Nilitarajia wanaharakati Kwa mujibu wa harakati zao waende na waandishi wa habari wakawaonyeshe yalipo Hayo makabuli maana CNN lazima waliwapatia Coordinate🤣🤣
 
Huyo takataka warrant yake inatayarishwa pia ,acha azungushe domo lake kwa sasa
 
Sijajua game plan ya hawa viumbe ni nini hasa ila nahisi, mambo yakiwa magumu sana kwao watakuwa radhi waliwashe moto hili taifa ili tuungue wote.

Wamekosa hekima, busara, maadili, unyenyekevu na maarifa. Hawana uwezo wa kufanya maamuzi yatakayoirudisha Tanzania katika mstari. Hawana.
 
Back
Top Bottom