Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
Mwaka huu nilitaka nijiunge na JWTZ lakini nimeahirisha nasubiri mpaka sakata la kugombea ziwa Nyasa liishe ndo ntajiunga. Isije kuwa unaingia tu unapitiliza.
jwtz haihitaji fisi nakuomba wala usisumbuke kuomba kazi huko. Pengine unafaa benki na vitu kama hivyomwaka huu nilitaka nijiunge na jwtz lakini nimeahirisha nasubiri mpaka sakata la kugombea ziwa nyasa liishe ndo ntajiunga. Isije kuwa unaingia tu unapitiliza.
unafikiri unajiunga kirahirahisi kama unavyodhani bwana mdogo!Mwaka huu nilitaka nijiunge na JWTZ lakini nimeahirisha nasubiri mpaka sakata la kugombea ziwa Nyasa liishe ndo ntajiunga. Isije kuwa unaingia tu unapitiliza.