Nilitaka kurogwa na bibi yake Dura

Reo nirikuwa bize sana na kazi ya nduka ndio maana tagu hasubuhi siko umu na simu irikuwa kazini kwa dura akiweka mziki ili husiku nije nisikirize. Poreni na majunkumu ya apa na pare na sasa tuko wote tena umu dani?. Nakubuka hilikuwa muaka jana abapo nirichaguriwa kupikia kuwenye bio za muenge wakati hukija uku kuzinduwa zaanati yetu. Muenyekiti arinichagua mimi na abudala na amis na sipiriyan na sosipita uyu ni mudongo wake na dura muenye komupiyuta na sabunfa ra muziki. Bahada ya kuchaguriwa bibi arifurahi sana mahana sisi ndiyo tunapikiya wageni wa kuwenye muenge.? Bahada ya kurudi nyumbani bibi yake dura arikuja nyumbani uku hakisema kua ninajifanya eti kisa najuwa kupika kuriko dura na sintafika popote pale. mimi mirinyamanza na kukaa kimiya mahana huyu bibi yake dura ariwahi kumupiga bibi yagu kisa kapita shabani kuwake na ngombe. Nirirudi ndani na bibi yake Dura akasema reo usiku sitarara na bibi halisikia hile habali akaniodoa pale nyumbani usiku na kunipereka kwa mujomba muingine acha yure wa itaria?nirienda kurara na kesho yake hasubuhi nikaamuka kuwenda kwenye bio za muenge kupikiya wageni wetu wariokuja na muenge.?

Lafiki yake Dura.
Hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reo nirikuwa bize sana na kazi ya nduka ndio maana tagu hasubuhi siko umu na simu irikuwa kazini kwa dura akiweka mziki ili husiku nije nisikirize. Poreni na majunkumu ya apa na pare na sasa tuko wote tena umu dani?. Nakubuka hilikuwa muaka jana abapo nirichaguriwa kupikia kuwenye bio za muenge wakati hukija uku kuzinduwa zaanati yetu. Muenyekiti arinichagua mimi na abudala na amis na sipiriyan na sosipita uyu ni mudongo wake na dura muenye komupiyuta na sabunfa ra muziki. Bahada ya kuchaguriwa bibi arifurahi sana mahana sisi ndiyo tunapikiya wageni wa kuwenye muenge.? Bahada ya kurudi nyumbani bibi yake dura arikuja nyumbani uku hakisema kua ninajifanya eti kisa najuwa kupika kuriko dura na sintafika popote pale. mimi mirinyamanza na kukaa kimiya mahana huyu bibi yake dura ariwahi kumupiga bibi yagu kisa kapita shabani kuwake na ngombe. Nirirudi ndani na bibi yake Dura akasema reo usiku sitarara na bibi halisikia hile habali akaniodoa pale nyumbani usiku na kunipereka kwa mujomba muingine acha yure wa itaria?nirienda kurara na kesho yake hasubuhi nikaamuka kuwenda kwenye bio za muenge kupikiya wageni wetu wariokuja na muenge.?

Lafiki yake Dura.
Joyce Ndalichako liked your post.
 
heller bibi yake dura halijuwa niko pare nyumbani kube bibi yagu arinitowa nikahenda kurara kwa mujomba muingine/
Yure mujomba wa itaria ariposikia ubaya wa bibi yake Dura arifwoka sana au kiasi? au arinyamaza?

Dura arichukia kufany cmu yako?
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom