enjai ya kyasha
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,062
- 3,584
Hivi una undugu na pembe za panzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaReo nirikuwa bize sana na kazi ya nduka ndio maana tagu hasubuhi siko umu na simu irikuwa kazini kwa dura akiweka mziki ili husiku nije nisikirize. Poreni na majunkumu ya apa na pare na sasa tuko wote tena umu dani?. Nakubuka hilikuwa muaka jana abapo nirichaguriwa kupikia kuwenye bio za muenge wakati hukija uku kuzinduwa zaanati yetu. Muenyekiti arinichagua mimi na abudala na amis na sipiriyan na sosipita uyu ni mudongo wake na dura muenye komupiyuta na sabunfa ra muziki. Bahada ya kuchaguriwa bibi arifurahi sana mahana sisi ndiyo tunapikiya wageni wa kuwenye muenge.? Bahada ya kurudi nyumbani bibi yake dura arikuja nyumbani uku hakisema kua ninajifanya eti kisa najuwa kupika kuriko dura na sintafika popote pale. mimi mirinyamanza na kukaa kimiya mahana huyu bibi yake dura ariwahi kumupiga bibi yagu kisa kapita shabani kuwake na ngombe. Nirirudi ndani na bibi yake Dura akasema reo usiku sitarara na bibi halisikia hile habali akaniodoa pale nyumbani usiku na kunipereka kwa mujomba muingine acha yure wa itaria?nirienda kurara na kesho yake hasubuhi nikaamuka kuwenda kwenye bio za muenge kupikiya wageni wetu wariokuja na muenge.?
Lafiki yake Dura.
Sipiliyan musiba auWewe na sipiriyani na sosipita nani anajua kupika vizuli?
Kwa kipindi hiki ambacho vyuma vimegoma kulegea hata kwa KY, nyuzi kama hizi za Pembe za Panzi ni za muhimu sana ili tusilale tukiwa tumekunja uso hata ukifa usingizini wafanyakazi wa motuary wasipate tabu wakati wanakufanyia "embalming"!
Jana Pembe za Panzi alimwachia simu Dura, ndo akawa anatumia kwa ID hii hii, Dura anajua kuandika na ndiye aliyemfungulia ID huyu Pembe za Panzi.
Usiku ndo alichukua simu yake akaanza kutumia yeye mwenyewe.
Joyce Ndalichako liked your post.Reo nirikuwa bize sana na kazi ya nduka ndio maana tagu hasubuhi siko umu na simu irikuwa kazini kwa dura akiweka mziki ili husiku nije nisikirize. Poreni na majunkumu ya apa na pare na sasa tuko wote tena umu dani?. Nakubuka hilikuwa muaka jana abapo nirichaguriwa kupikia kuwenye bio za muenge wakati hukija uku kuzinduwa zaanati yetu. Muenyekiti arinichagua mimi na abudala na amis na sipiriyan na sosipita uyu ni mudongo wake na dura muenye komupiyuta na sabunfa ra muziki. Bahada ya kuchaguriwa bibi arifurahi sana mahana sisi ndiyo tunapikiya wageni wa kuwenye muenge.? Bahada ya kurudi nyumbani bibi yake dura arikuja nyumbani uku hakisema kua ninajifanya eti kisa najuwa kupika kuriko dura na sintafika popote pale. mimi mirinyamanza na kukaa kimiya mahana huyu bibi yake dura ariwahi kumupiga bibi yagu kisa kapita shabani kuwake na ngombe. Nirirudi ndani na bibi yake Dura akasema reo usiku sitarara na bibi halisikia hile habali akaniodoa pale nyumbani usiku na kunipereka kwa mujomba muingine acha yure wa itaria?nirienda kurara na kesho yake hasubuhi nikaamuka kuwenda kwenye bio za muenge kupikiya wageni wetu wariokuja na muenge.?
Lafiki yake Dura.
Yure mujomba wa itaria ariposikia ubaya wa bibi yake Dura arifwoka sana au kiasi? au arinyamaza?heller bibi yake dura halijuwa niko pare nyumbani kube bibi yagu arinitowa nikahenda kurara kwa mujomba muingine/