Mudugu
Senior Member
- Mar 17, 2018
- 140
- 130
Uzi huu unawahusu wenye mafua tu mimi nasepa kimya bila kukomenti.!
Mleta mada ni moja ya wale viumbe waliotoka sayari nyingine
Uzi huu unawahusu wenye mafua tu mimi nasepa kimya bila kukomenti.!
Mleta mada ni moja ya wale viumbe waliotoka sayari nyingine
we jamaa una hatari sanasipiriyan ni mutoto wa muenyekiti hila hajuyi kupika sana?
Wajukuu walishamalizana maana pamoja na kwamba dura hakwenda kumuona mwenzie alivyokamatwa na police kwa sababu yake lakini pembe za panzi alimsamehe dura.Sema dura hajui kupika anaweka chumvi nyingi kwenye chakula
Yeye ndio anajua kupika kijiji kizima,anamshinda hata dura,abudala,sipiriyani na sosipita ndio maana alichaguliwa kupika chakula cha wageni wa mbio za mwenge.Dura anawekaga chumvi nyingiHuyu jamaa anajua anaandika nini,yaani alivyo yakosea maneno jana,leo anaandika yaleyale.Halafu,hivi visa vyake kuna kitu vinalenga jiulize,kwanini wachaguliwe wavulana badala ya wasichana kupika kwenye mbio za mwenge?Kama ni chakula cha kijiji kizima ndio kipikwe na hao vijana wanne tu?Lazima kuna kitu anakisema katikati ya hivi visa vyake.Maadamu vinapunguza stress wacha tuburudike
Mimi nimependa tu unavoweka question marks kila mahaliReo nirikuwa bize sana na kazi ya nduka ndio maana tagu hasubuhi siko umu na simu irikuwa kazini kwa dura akiweka mziki ili husiku nije nisikirize. Poreni na majunkumu ya apa na pare na sasa tuko wote tena umu dani?. Nakubuka hilikuwa muaka jana abapo nirichaguriwa kupikia kuwenye bio za muenge wakati hukija uku kuzinduwa zaanati yetu. Muenyekiti arinichagua mimi na abudala na amis na sipiriyan na sosipita uyu ni mudongo wake na dura muenye komupiyuta na sabunfa ra muziki. Bahada ya kuchaguriwa bibi arifurahi sana mahana sisi ndiyo tunapikiya wageni wa kuwenye muenge.? Bahada ya kurudi nyumbani bibi yake dura arikuja nyumbani uku hakisema kua ninajifanya eti kisa najuwa kupika kuriko dura na sintafika popote pale. mimi mirinyamanza na kukaa kimiya mahana huyu bibi yake dura ariwahi kumupiga bibi yagu kisa kapita shabani kuwake na ngombe. Nirirudi ndani na bibi yake Dura akasema reo usiku sitarara na bibi halisikia hile habali akaniodoa pale nyumbani usiku na kunipereka kwa mujomba muingine acha yure wa itaria?nirienda kurara na kesho yake hasubuhi nikaamuka kuwenda kwenye bio za muenge kupikiya wageni wetu wariokuja na muenge.?
Lafiki yake Dura.
Mimi nimependa tu unavoweka question marks kila mahali
Hahahahahahaha
Kwa kipindi hiki ambacho vyuma vimegoma kulegea hata kwa KY, nyuzi kama hizi za Pembe za Panzi ni za muhimu sana ili tusilale tukiwa tumekunja uso hata ukifa usingizini wafanyakazi wa motuary wasipate tabu wakati wanakufanyia "embalming"!
Kuna post ya sky ameandika vizuri tu,anatuletea uchale chale huyu
Kumuelewa ni shughuli but it's funny hahahahhahaahahahahKuna post ya sky ameandika vizuri tu,anatuletea uchale chale huyu
Sijui arimkosea nn dura huyu jamaapembe za panzi wewe na dura muna visa vigi sana mpakaa bibi ake na dura anakujua
Inaonekana dura ni mtu hatari sanaSijui arimkosea nn dura huyu jamaa
Hiki kiswahili lazima kipitiwe upya