Nilitaka kumuoa, nimeghairi

Nilitaka kumuoa, nimeghairi

We Fala kweli , hamna binti aliye single , ulitakiwa uongeze juhudi ili ujimilikishe , sa hv ukitaka binti inabd ufanye ambush ya kumng'oa mtu hakuna namna

Malizia binti mzuri, halafu hakuna wa peke ako, fumua kwa uwezo wako
 
Kijana una umri gani?????my wish to know that

Ustaarabu wa mtu haupimwi kwa kuvaa km ulivyoeleza ktk post yako.Una safari ndefu ya kujifunza kuhusu mahusiano Mungu akusaidie .

Kuwaogopa wanawake sio solution ya matatizo yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom