Nilitaka kumuoa, nimeghairi

Nilitaka kumuoa, nimeghairi

Poleni na majukumu wana wa mungu!!!!

Nimekuwa kwenye mahusiano na binti Fulani hapa chuoni kwa kipindi kama cha mwaka mzima mpaka sasa.

Mwanzo nilimuona ni binti mstaarabu na asiependa makuu kwani hapendi kuvaa au kupendeza sana (anavaa kikawaida sana) kama wasichana wengine wa vyuoni……nilipo muona kwa mara ya kwanza niliona atanifaa kwa sababu asingeweza kuniingiza kwenye gharama za rejareja.

Sasa bwana!!!! Kumbe nilikuwa najidanganya sababu wanawake ni nyoka aiseeh!!! Tena wenye sumu kali sana tena sana…. Ipo hivi,juzi nilimkuta anachat na mtu nikamuuliza mbona siku hizi anachat sana akaniambia anachat na kaka yake(kuna jamaa alishawahi kuniambia ni kaka yake lakini Kumbe ndio mtu wake wa nguvu kabsa)……sasa bahati mbaya au nzuri mwamba akapiga simu,alipoona ile namba binti akagoma kupokea simu

Mimi:Mbona hupokei simu
Yeye:Huyu kaka yangu ananisumbua tu achana nae
Niliendelea kumlazimisha apokee simu lakini mwisho akapokea ila akamjibu;

Yeye;Kaka nipo kwenye kelele nipigie baadae

Kiukweli taa nyekundu ilianza kuwaka kichwani kwangu na nilianza kumfuatilia mpaka jana nilipo pata sababu ya kuandika haya,ilikuwa hivi;
Nilifanikiwa kupata namba ya huyo mwishowe nikampigia simu kama kumsalimia,nikamuuliza kama ana mdogo wake akaniambia hana….baadae nikamuuliza kama anamjua binti yule akanijibu ndio.

Mimi:Sawa kaka nashukuru kwa ushirirkiano wako
Jamaa:kwanini umeniuliza??? Na wewe nani yako? Niambie ili nikuambie mengi ambayo nayajua kuhusu huyo binti

Mimi:Kiukweli kaka nipo nae kwenye mahusiano ila nilikuta namba yako ndio imenitisha…….

Jamaa😀aah!!! Kijana huyo binti ni mpuuzi sana tena kummk ….mimi nipo nae kwenye uhusiano mwaka wa 4 sasa na ata ada namlipia mimi kuanzia yupo advance mpaka sasa yupo chuo bado anatumia pesa yangu(hana mkopo wala boom) sasa nashindwa kuelewa huyu binti ananitaka nini…….nitamuua kummk aache kucheza na mimi

Mimi:Kaka nimekuelewa na Asante sana kwa ushirikiano wako

Jamaa😀ogo usikate simu ngoja nikuunganishe nae ila usiongee chochote mpaka nikuruhusu sawa?

Mimi😛oa kaka hakuna shida!!!
Jamaa akamuunganisha kwenye mazungumzo yetu….kiukweli niliyo yasikia kutoka kwa yule binti sikuamini,yani alikuwa anamsifia mwamba wazi wazi tena kwa Mahaba yote(alikuwa ananiambia hana mtu mwingine zaidi yangu) nilitamani kama angekuwepo nimchape ata shaba….

Waliongea mengi mwisho mwamba akaniambia:

Jamaa:Oya ebu zungumza na huyu baby wako nahisi umemsikia yote anayoniambia

Mimi:Mambo mrembo

Binti:Nzuri wee nani tena jamani???

Mimi:Ngwale jr(nikamtajia jina langu)…..Aliposikia jina langu akaanza kulia na akaniambia mbele ya jamaa anasikia eti nimsamehe na akakata simu baadae jamaa akaendelea;

Jamaa;Oya huyu binti nitamfanyia zengwe hataamini maisha yake na ikiwezekana nitampoteza na mimi nipotee kabisa(jamaa ana pesa sana maana anamiliki hotel kubwa moshi nyumbani kwao na huyu binti kwa taarifa nilizo pata )

Sasa leo huyu Delilah asubuhi kaamkia ghetto kwangu huku analia anataka anielezee kila kitu kumuhusu huyu mwamba…..nilikuwa nina hasira sana nikamjibu kuwa nahitaji aondoke maana sitaki ata nimuone,Alilia sana baadae niliamua kumtoa nje kwa nguvu na kuzima kabisa mpaka ile sim card aliyokuwa anaifahamu

Ninamuona kama muuaji kwangu maana tulikuwa tunatumia sana za kwake kumbe ni za jamaa yake….sasa baadae kama ningemuoa si jamaa angenifahamu akaniua!?

Sitooa!!!acheni nile kwanza maisha kama wanawake wenyewe ndio hawa wasio kuwa na plan yoyote kuhusu future…..nitaendelea kuwa single mpaka pale nitakapopata mwenye akili inayo endana na harakati zangu…….

Fear women
255682879038_status_c2d7e255d8374f3fbafa3e73d82afd9a.jpg
 
Unashangaza

We ulikuwa mchepuko wa binti so hata ungetaka kumwoa asingekubali so badili heading wewe sio wa kumuoa we ni mchepukl anayepaswa aghair kuoa ni jamaa suo wewe
 
Poleni na majukumu wana wa mungu!!!!

Nimekuwa kwenye mahusiano na binti Fulani hapa chuoni kwa kipindi kama cha mwaka mzima mpaka sasa.

Mwanzo nilimuona ni binti mstaarabu na asiependa makuu kwani hapendi kuvaa au kupendeza sana (anavaa kikawaida sana) kama wasichana wengine wa vyuoni……nilipo muona kwa mara ya kwanza niliona atanifaa kwa sababu asingeweza kuniingiza kwenye gharama za rejareja.

Sasa bwana!!!! Kumbe nilikuwa najidanganya sababu wanawake ni nyoka aiseeh!!! Tena wenye sumu kali sana tena sana…. Ipo hivi,juzi nilimkuta anachat na mtu nikamuuliza mbona siku hizi anachat sana akaniambia anachat na kaka yake(kuna jamaa alishawahi kuniambia ni kaka yake lakini Kumbe ndio mtu wake wa nguvu kabsa)……sasa bahati mbaya au nzuri mwamba akapiga simu,alipoona ile namba binti akagoma kupokea simu

Mimi:Mbona hupokei simu
Yeye:Huyu kaka yangu ananisumbua tu achana nae
Niliendelea kumlazimisha apokee simu lakini mwisho akapokea ila akamjibu;

Yeye;Kaka nipo kwenye kelele nipigie baadae

Kiukweli taa nyekundu ilianza kuwaka kichwani kwangu na nilianza kumfuatilia mpaka jana nilipo pata sababu ya kuandika haya,ilikuwa hivi;
Nilifanikiwa kupata namba ya huyo mwishowe nikampigia simu kama kumsalimia,nikamuuliza kama ana mdogo wake akaniambia hana….baadae nikamuuliza kama anamjua binti yule akanijibu ndio.

Mimi:Sawa kaka nashukuru kwa ushirirkiano wako
Jamaa:kwanini umeniuliza??? Na wewe nani yako? Niambie ili nikuambie mengi ambayo nayajua kuhusu huyo binti

Mimi:Kiukweli kaka nipo nae kwenye mahusiano ila nilikuta namba yako ndio imenitisha…….

Jamaa😀aah!!! Kijana huyo binti ni mpuuzi sana tena kummk ….mimi nipo nae kwenye uhusiano mwaka wa 4 sasa na ata ada namlipia mimi kuanzia yupo advance mpaka sasa yupo chuo bado anatumia pesa yangu(hana mkopo wala boom) sasa nashindwa kuelewa huyu binti ananitaka nini…….nitamuua kummk aache kucheza na mimi

Mimi:Kaka nimekuelewa na Asante sana kwa ushirikiano wako

Jamaa😀ogo usikate simu ngoja nikuunganishe nae ila usiongee chochote mpaka nikuruhusu sawa?

Mimi😛oa kaka hakuna shida!!!
Jamaa akamuunganisha kwenye mazungumzo yetu….kiukweli niliyo yasikia kutoka kwa yule binti sikuamini,yani alikuwa anamsifia mwamba wazi wazi tena kwa Mahaba yote(alikuwa ananiambia hana mtu mwingine zaidi yangu) nilitamani kama angekuwepo nimchape ata shaba….

Waliongea mengi mwisho mwamba akaniambia:

Jamaa:Oya ebu zungumza na huyu baby wako nahisi umemsikia yote anayoniambia

Mimi:Mambo mrembo

Binti:Nzuri wee nani tena jamani???

Mimi:Ngwale jr(nikamtajia jina langu)…..Aliposikia jina langu akaanza kulia na akaniambia mbele ya jamaa anasikia eti nimsamehe na akakata simu baadae jamaa akaendelea;

Jamaa;Oya huyu binti nitamfanyia zengwe hataamini maisha yake na ikiwezekana nitampoteza na mimi nipotee kabisa(jamaa ana pesa sana maana anamiliki hotel kubwa moshi nyumbani kwao na huyu binti kwa taarifa nilizo pata )

Sasa leo huyu Delilah asubuhi kaamkia ghetto kwangu huku analia anataka anielezee kila kitu kumuhusu huyu mwamba…..nilikuwa nina hasira sana nikamjibu kuwa nahitaji aondoke maana sitaki ata nimuone,Alilia sana baadae niliamua kumtoa nje kwa nguvu na kuzima kabisa mpaka ile sim card aliyokuwa anaifahamu

Ninamuona kama muuaji kwangu maana tulikuwa tunatumia sana za kwake kumbe ni za jamaa yake….sasa baadae kama ningemuoa si jamaa angenifahamu akaniua!?

Sitooa!!!acheni nile kwanza maisha kama wanawake wenyewe ndio hawa wasio kuwa na plan yoyote kuhusu future…..nitaendelea kuwa single mpaka pale nitakapopata mwenye akili inayo endana na harakati zangu…….

Fear women
We Fala kweli , hamna binti aliye single , ulitakiwa uongeze juhudi ili ujimilikishe , sa hv ukitaka binti inabd ufanye ambush ya kumng'oa mtu hakuna namna
 
Poleni na majukumu wana wa mungu!!!!

Nimekuwa kwenye mahusiano na binti Fulani hapa chuoni kwa kipindi kama cha mwaka mzima mpaka sasa.

Mwanzo nilimuona ni binti mstaarabu na asiependa makuu kwani hapendi kuvaa au kupendeza sana (anavaa kikawaida sana) kama wasichana wengine wa vyuoni……nilipo muona kwa mara ya kwanza niliona atanifaa kwa sababu asingeweza kuniingiza kwenye gharama za rejareja.

Sasa bwana!!!! Kumbe nilikuwa najidanganya sababu wanawake ni nyoka aiseeh!!! Tena wenye sumu kali sana tena sana…. Ipo hivi,juzi nilimkuta anachat na mtu nikamuuliza mbona siku hizi anachat sana akaniambia anachat na kaka yake(kuna jamaa alishawahi kuniambia ni kaka yake lakini Kumbe ndio mtu wake wa nguvu kabsa)……sasa bahati mbaya au nzuri mwamba akapiga simu,alipoona ile namba binti akagoma kupokea simu

Mimi:Mbona hupokei simu
Yeye:Huyu kaka yangu ananisumbua tu achana nae
Niliendelea kumlazimisha apokee simu lakini mwisho akapokea ila akamjibu;

Yeye;Kaka nipo kwenye kelele nipigie baadae

Kiukweli taa nyekundu ilianza kuwaka kichwani kwangu na nilianza kumfuatilia mpaka jana nilipo pata sababu ya kuandika haya,ilikuwa hivi;
Nilifanikiwa kupata namba ya huyo mwishowe nikampigia simu kama kumsalimia,nikamuuliza kama ana mdogo wake akaniambia hana….baadae nikamuuliza kama anamjua binti yule akanijibu ndio.

Mimi:Sawa kaka nashukuru kwa ushirirkiano wako
Jamaa:kwanini umeniuliza??? Na wewe nani yako? Niambie ili nikuambie mengi ambayo nayajua kuhusu huyo binti

Mimi:Kiukweli kaka nipo nae kwenye mahusiano ila nilikuta namba yako ndio imenitisha…….

Jamaa😀aah!!! Kijana huyo binti ni mpuuzi sana tena kummk ….mimi nipo nae kwenye uhusiano mwaka wa 4 sasa na ata ada namlipia mimi kuanzia yupo advance mpaka sasa yupo chuo bado anatumia pesa yangu(hana mkopo wala boom) sasa nashindwa kuelewa huyu binti ananitaka nini…….nitamuua kummk aache kucheza na mimi

Mimi:Kaka nimekuelewa na Asante sana kwa ushirikiano wako

Jamaa😀ogo usikate simu ngoja nikuunganishe nae ila usiongee chochote mpaka nikuruhusu sawa?

Mimi😛oa kaka hakuna shida!!!
Jamaa akamuunganisha kwenye mazungumzo yetu….kiukweli niliyo yasikia kutoka kwa yule binti sikuamini,yani alikuwa anamsifia mwamba wazi wazi tena kwa Mahaba yote(alikuwa ananiambia hana mtu mwingine zaidi yangu) nilitamani kama angekuwepo nimchape ata shaba….

Waliongea mengi mwisho mwamba akaniambia:

Jamaa:Oya ebu zungumza na huyu baby wako nahisi umemsikia yote anayoniambia

Mimi:Mambo mrembo

Binti:Nzuri wee nani tena jamani???

Mimi:Ngwale jr(nikamtajia jina langu)…..Aliposikia jina langu akaanza kulia na akaniambia mbele ya jamaa anasikia eti nimsamehe na akakata simu baadae jamaa akaendelea;

Jamaa;Oya huyu binti nitamfanyia zengwe hataamini maisha yake na ikiwezekana nitampoteza na mimi nipotee kabisa(jamaa ana pesa sana maana anamiliki hotel kubwa moshi nyumbani kwao na huyu binti kwa taarifa nilizo pata )

Sasa leo huyu Delilah asubuhi kaamkia ghetto kwangu huku analia anataka anielezee kila kitu kumuhusu huyu mwamba…..nilikuwa nina hasira sana nikamjibu kuwa nahitaji aondoke maana sitaki ata nimuone,Alilia sana baadae niliamua kumtoa nje kwa nguvu na kuzima kabisa mpaka ile sim card aliyokuwa anaifahamu

Ninamuona kama muuaji kwangu maana tulikuwa tunatumia sana za kwake kumbe ni za jamaa yake….sasa baadae kama ningemuoa si jamaa angenifahamu akaniua!?

Sitooa!!!acheni nile kwanza maisha kama wanawake wenyewe ndio hawa wasio kuwa na plan yoyote kuhusu future…..nitaendelea kuwa single mpaka pale nitakapopata mwenye akili inayo endana na harakati zangu…….

Fear women
Haina haja ya ku fear women.
Kazi yako ni kupata muda mzuri pamoja naye na kulala naye. Ayo mengine ulikua unaspidi kuliko wakati muafaka.

Muda mwingine ukiwa na mwanamke we kuwa na kasi ndogo kuliko mwanamke, mwache yeye ndo aombe ndoa sio wewe uanze kuwaza ayo mambo. Kisha umuongoze huko.
Kwanini ufanye hivyo? Ili upate muda wa kumjua zaidi na kuona kama atafaa kuwa mkeo. kuliko kukimbiza mambo alafu baadae unakuja kugundua uchafu.
 
Poleni na majukumu wana wa mungu!!!!

Nimekuwa kwenye mahusiano na binti Fulani hapa chuoni kwa kipindi kama cha mwaka mzima mpaka sasa.

Mwanzo nilimuona ni binti mstaarabu na asiependa makuu kwani hapendi kuvaa au kupendeza sana (anavaa kikawaida sana) kama wasichana wengine wa vyuoni……nilipo muona kwa mara ya kwanza niliona atanifaa kwa sababu asingeweza kuniingiza kwenye gharama za rejareja.

Sasa bwana!!!! Kumbe nilikuwa najidanganya sababu wanawake ni nyoka aiseeh!!! Tena wenye sumu kali sana tena sana…. Ipo hivi,juzi nilimkuta anachat na mtu nikamuuliza mbona siku hizi anachat sana akaniambia anachat na kaka yake(kuna jamaa alishawahi kuniambia ni kaka yake lakini Kumbe ndio mtu wake wa nguvu kabsa)……sasa bahati mbaya au nzuri mwamba akapiga simu,alipoona ile namba binti akagoma kupokea simu

Mimi:Mbona hupokei simu
Yeye:Huyu kaka yangu ananisumbua tu achana nae
Niliendelea kumlazimisha apokee simu lakini mwisho akapokea ila akamjibu;

Yeye;Kaka nipo kwenye kelele nipigie baadae

Kiukweli taa nyekundu ilianza kuwaka kichwani kwangu na nilianza kumfuatilia mpaka jana nilipo pata sababu ya kuandika haya,ilikuwa hivi;
Nilifanikiwa kupata namba ya huyo mwishowe nikampigia simu kama kumsalimia,nikamuuliza kama ana mdogo wake akaniambia hana….baadae nikamuuliza kama anamjua binti yule akanijibu ndio.

Mimi:Sawa kaka nashukuru kwa ushirirkiano wako
Jamaa:kwanini umeniuliza??? Na wewe nani yako? Niambie ili nikuambie mengi ambayo nayajua kuhusu huyo binti

Mimi:Kiukweli kaka nipo nae kwenye mahusiano ila nilikuta namba yako ndio imenitisha…….

Jamaa😀aah!!! Kijana huyo binti ni mpuuzi sana tena kummk ….mimi nipo nae kwenye uhusiano mwaka wa 4 sasa na ata ada namlipia mimi kuanzia yupo advance mpaka sasa yupo chuo bado anatumia pesa yangu(hana mkopo wala boom) sasa nashindwa kuelewa huyu binti ananitaka nini…….nitamuua kummk aache kucheza na mimi

Mimi:Kaka nimekuelewa na Asante sana kwa ushirikiano wako

Jamaa😀ogo usikate simu ngoja nikuunganishe nae ila usiongee chochote mpaka nikuruhusu sawa?

Mimi😛oa kaka hakuna shida!!!
Jamaa akamuunganisha kwenye mazungumzo yetu….kiukweli niliyo yasikia kutoka kwa yule binti sikuamini,yani alikuwa anamsifia mwamba wazi wazi tena kwa Mahaba yote(alikuwa ananiambia hana mtu mwingine zaidi yangu) nilitamani kama angekuwepo nimchape ata shaba….

Waliongea mengi mwisho mwamba akaniambia:

Jamaa:Oya ebu zungumza na huyu baby wako nahisi umemsikia yote anayoniambia

Mimi:Mambo mrembo

Binti:Nzuri wee nani tena jamani???

Mimi:Ngwale jr(nikamtajia jina langu)…..Aliposikia jina langu akaanza kulia na akaniambia mbele ya jamaa anasikia eti nimsamehe na akakata simu baadae jamaa akaendelea;

Jamaa;Oya huyu binti nitamfanyia zengwe hataamini maisha yake na ikiwezekana nitampoteza na mimi nipotee kabisa(jamaa ana pesa sana maana anamiliki hotel kubwa moshi nyumbani kwao na huyu binti kwa taarifa nilizo pata )

Sasa leo huyu Delilah asubuhi kaamkia ghetto kwangu huku analia anataka anielezee kila kitu kumuhusu huyu mwamba…..nilikuwa nina hasira sana nikamjibu kuwa nahitaji aondoke maana sitaki ata nimuone,Alilia sana baadae niliamua kumtoa nje kwa nguvu na kuzima kabisa mpaka ile sim card aliyokuwa anaifahamu

Ninamuona kama muuaji kwangu maana tulikuwa tunatumia sana za kwake kumbe ni za jamaa yake….sasa baadae kama ningemuoa si jamaa angenifahamu akaniua!?

Sitooa!!!acheni nile kwanza maisha kama wanawake wenyewe ndio hawa wasio kuwa na plan yoyote kuhusu future…..nitaendelea kuwa single mpaka pale nitakapopata mwenye akili inayo endana na harakati zangu…….

Fear women
Duuuuh kisa kizito sana
 
Poleni na majukumu wana wa mungu!!!!

Nimekuwa kwenye mahusiano na binti Fulani hapa chuoni kwa kipindi kama cha mwaka mzima mpaka sasa.

Mwanzo nilimuona ni binti mstaarabu na asiependa makuu kwani hapendi kuvaa au kupendeza sana (anavaa kikawaida sana) kama wasichana wengine wa vyuoni……nilipo muona kwa mara ya kwanza niliona atanifaa kwa sababu asingeweza kuniingiza kwenye gharama za rejareja.

Sasa bwana!!!! Kumbe nilikuwa najidanganya sababu wanawake ni nyoka aiseeh!!! Tena wenye sumu kali sana tena sana…. Ipo hivi,juzi nilimkuta anachat na mtu nikamuuliza mbona siku hizi anachat sana akaniambia anachat na kaka yake(kuna jamaa alishawahi kuniambia ni kaka yake lakini Kumbe ndio mtu wake wa nguvu kabsa)……sasa bahati mbaya au nzuri mwamba akapiga simu,alipoona ile namba binti akagoma kupokea simu

Mimi:Mbona hupokei simu
Yeye:Huyu kaka yangu ananisumbua tu achana nae
Niliendelea kumlazimisha apokee simu lakini mwisho akapokea ila akamjibu;

Yeye;Kaka nipo kwenye kelele nipigie baadae

Kiukweli taa nyekundu ilianza kuwaka kichwani kwangu na nilianza kumfuatilia mpaka jana nilipo pata sababu ya kuandika haya,ilikuwa hivi;
Nilifanikiwa kupata namba ya huyo mwishowe nikampigia simu kama kumsalimia,nikamuuliza kama ana mdogo wake akaniambia hana….baadae nikamuuliza kama anamjua binti yule akanijibu ndio.

Mimi:Sawa kaka nashukuru kwa ushirirkiano wako
Jamaa:kwanini umeniuliza??? Na wewe nani yako? Niambie ili nikuambie mengi ambayo nayajua kuhusu huyo binti

Mimi:Kiukweli kaka nipo nae kwenye mahusiano ila nilikuta namba yako ndio imenitisha…….

Jamaa😀aah!!! Kijana huyo binti ni mpuuzi sana tena kummk ….mimi nipo nae kwenye uhusiano mwaka wa 4 sasa na ata ada namlipia mimi kuanzia yupo advance mpaka sasa yupo chuo bado anatumia pesa yangu(hana mkopo wala boom) sasa nashindwa kuelewa huyu binti ananitaka nini…….nitamuua kummk aache kucheza na mimi

Mimi:Kaka nimekuelewa na Asante sana kwa ushirikiano wako

Jamaa😀ogo usikate simu ngoja nikuunganishe nae ila usiongee chochote mpaka nikuruhusu sawa?

Mimi😛oa kaka hakuna shida!!!
Jamaa akamuunganisha kwenye mazungumzo yetu….kiukweli niliyo yasikia kutoka kwa yule binti sikuamini,yani alikuwa anamsifia mwamba wazi wazi tena kwa Mahaba yote(alikuwa ananiambia hana mtu mwingine zaidi yangu) nilitamani kama angekuwepo nimchape ata shaba….

Waliongea mengi mwisho mwamba akaniambia:

Jamaa:Oya ebu zungumza na huyu baby wako nahisi umemsikia yote anayoniambia

Mimi:Mambo mrembo

Binti:Nzuri wee nani tena jamani???

Mimi:Ngwale jr(nikamtajia jina langu)…..Aliposikia jina langu akaanza kulia na akaniambia mbele ya jamaa anasikia eti nimsamehe na akakata simu baadae jamaa akaendelea;

Jamaa;Oya huyu binti nitamfanyia zengwe hataamini maisha yake na ikiwezekana nitampoteza na mimi nipotee kabisa(jamaa ana pesa sana maana anamiliki hotel kubwa moshi nyumbani kwao na huyu binti kwa taarifa nilizo pata )

Sasa leo huyu Delilah asubuhi kaamkia ghetto kwangu huku analia anataka anielezee kila kitu kumuhusu huyu mwamba…..nilikuwa nina hasira sana nikamjibu kuwa nahitaji aondoke maana sitaki ata nimuone,Alilia sana baadae niliamua kumtoa nje kwa nguvu na kuzima kabisa mpaka ile sim card aliyokuwa anaifahamu

Ninamuona kama muuaji kwangu maana tulikuwa tunatumia sana za kwake kumbe ni za jamaa yake….sasa baadae kama ningemuoa si jamaa angenifahamu akaniua!?

Sitooa!!!acheni nile kwanza maisha kama wanawake wenyewe ndio hawa wasio kuwa na plan yoyote kuhusu future…..nitaendelea kuwa single mpaka pale nitakapopata mwenye akili inayo endana na harakati zangu…….

Fear women
Ulitaka kumuoa kwa kutumia boom
 
Acha ujingaa.


Kwakua umeshakua ndivo alivyo ,usipaniki.


Huyo jamaa Boss, ni Wa nyumban na pengine ana Mke na watoto.


Wewe ni wakichuo, kikawaida mabinti hata kama katika kwao ana Mume, akifika chuo lazima awe na wa chuon .



Sasa Basi, wee endelea kujipakuliaa, Tena hapo unaweza muomba na Tigoo 😂.

Kwakua ni mkosaji anayetafuta kusamehewa, atakubali tuuu.



Ila sikushauri ule Ndogo.!!...wee endelea kula mzigoooo.


Alafu acha hizo habari za nilitaka kumuoa, ..ndo kwanza uko chuo, huna uhakika wa Maisha, unanjaaa ,!!
Kingine hapo lazima atambue huyo demu hamjui kabisa na lazima awe na jamaa kutoka kwao.

Ndo maana ukitaka kuoa fanya ukaoe kwenu
 
Poleni na majukumu wana wa mungu!!!!

Nimekuwa kwenye mahusiano na binti Fulani hapa chuoni kwa kipindi kama cha mwaka mzima mpaka sasa.

Mwanzo nilimuona ni binti mstaarabu na asiependa makuu kwani hapendi kuvaa au kupendeza sana (anavaa kikawaida sana) kama wasichana wengine wa vyuoni……nilipo muona kwa mara ya kwanza niliona atanifaa kwa sababu asingeweza kuniingiza kwenye gharama za rejareja.

Sasa bwana!!!! Kumbe nilikuwa najidanganya sababu wanawake ni nyoka aiseeh!!! Tena wenye sumu kali sana tena sana…. Ipo hivi,juzi nilimkuta anachat na mtu nikamuuliza mbona siku hizi anachat sana akaniambia anachat na kaka yake(kuna jamaa alishawahi kuniambia ni kaka yake lakini Kumbe ndio mtu wake wa nguvu kabsa)……sasa bahati mbaya au nzuri mwamba akapiga simu,alipoona ile namba binti akagoma kupokea simu

Mimi:Mbona hupokei simu
Yeye:Huyu kaka yangu ananisumbua tu achana nae
Niliendelea kumlazimisha apokee simu lakini mwisho akapokea ila akamjibu;

Yeye;Kaka nipo kwenye kelele nipigie baadae

Kiukweli taa nyekundu ilianza kuwaka kichwani kwangu na nilianza kumfuatilia mpaka jana nilipo pata sababu ya kuandika haya,ilikuwa hivi;
Nilifanikiwa kupata namba ya huyo mwishowe nikampigia simu kama kumsalimia,nikamuuliza kama ana mdogo wake akaniambia hana….baadae nikamuuliza kama anamjua binti yule akanijibu ndio.

Mimi:Sawa kaka nashukuru kwa ushirirkiano wako
Jamaa:kwanini umeniuliza??? Na wewe nani yako? Niambie ili nikuambie mengi ambayo nayajua kuhusu huyo binti

Mimi:Kiukweli kaka nipo nae kwenye mahusiano ila nilikuta namba yako ndio imenitisha…….

Jamaa😀aah!!! Kijana huyo binti ni mpuuzi sana tena kummk ….mimi nipo nae kwenye uhusiano mwaka wa 4 sasa na ata ada namlipia mimi kuanzia yupo advance mpaka sasa yupo chuo bado anatumia pesa yangu(hana mkopo wala boom) sasa nashindwa kuelewa huyu binti ananitaka nini…….nitamuua kummk aache kucheza na mimi

Mimi:Kaka nimekuelewa na Asante sana kwa ushirikiano wako

Jamaa😀ogo usikate simu ngoja nikuunganishe nae ila usiongee chochote mpaka nikuruhusu sawa?

Mimi😛oa kaka hakuna shida!!!
Jamaa akamuunganisha kwenye mazungumzo yetu….kiukweli niliyo yasikia kutoka kwa yule binti sikuamini,yani alikuwa anamsifia mwamba wazi wazi tena kwa Mahaba yote(alikuwa ananiambia hana mtu mwingine zaidi yangu) nilitamani kama angekuwepo nimchape ata shaba….

Waliongea mengi mwisho mwamba akaniambia:

Jamaa:Oya ebu zungumza na huyu baby wako nahisi umemsikia yote anayoniambia

Mimi:Mambo mrembo

Binti:Nzuri wee nani tena jamani???

Mimi:Ngwale jr(nikamtajia jina langu)…..Aliposikia jina langu akaanza kulia na akaniambia mbele ya jamaa anasikia eti nimsamehe na akakata simu baadae jamaa akaendelea;

Jamaa;Oya huyu binti nitamfanyia zengwe hataamini maisha yake na ikiwezekana nitampoteza na mimi nipotee kabisa(jamaa ana pesa sana maana anamiliki hotel kubwa moshi nyumbani kwao na huyu binti kwa taarifa nilizo pata )

Sasa leo huyu Delilah asubuhi kaamkia ghetto kwangu huku analia anataka anielezee kila kitu kumuhusu huyu mwamba…..nilikuwa nina hasira sana nikamjibu kuwa nahitaji aondoke maana sitaki ata nimuone,Alilia sana baadae niliamua kumtoa nje kwa nguvu na kuzima kabisa mpaka ile sim card aliyokuwa anaifahamu

Ninamuona kama muuaji kwangu maana tulikuwa tunatumia sana za kwake kumbe ni za jamaa yake….sasa baadae kama ningemuoa si jamaa angenifahamu akaniua!?

Sitooa!!!acheni nile kwanza maisha kama wanawake wenyewe ndio hawa wasio kuwa na plan yoyote kuhusu future…..nitaendelea kuwa single mpaka pale nitakapopata mwenye akili inayo endana na harakati zangu…….

Fear women

Jina la mwanake mwenyewe ndo Delilah? Hili jina si lisha laaniwa tu toka mkasa wa Samson.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom