Mtihani wa advance nilifanya masomo ya
Chemistry-B
Mathematics-C na
Education-D
Div 1.9
Natamani kwenda kusoma software engineering ila naona guidebook ya TCU inataka physics je hakuna njia nyingine yoyote labda kama wanatoa mtihani kabla ya kuniruhusu kujiunga au ni lazima nikafanye kwanza physics ndo nikasome hiyo kozi maana nahisi kazi yangu ipo huko kwenye software Nina mambo mengi nataka kuyafanya ya kiteknolojia naomba mwenye uelewa yeyote anisaidie tu mawazo jinsi gani naweza pata chuo kwenda kusoma hiyo kozi
Nilichaguliwa toka form four direct kwenda chuo kusomea diploma in education lakini kabla ya kufanya diploma tunafanya kwanza mtihani wa form six then wa diploma ndo unafuata na kozi ni ya miaka mitatu ,hope nimeelezea kidogo
Nilichaguliwa toka form four direct kwenda chuo kusomea diploma in education lakini kabla ya kufanya diploma tunafanya kwanza mtihani wa form six then wa diploma ndo unafuata na kozi ni ya miaka mitatu ,hope nimeelezea kidogo
Mkuu kozi hiyo ni kweli ipo, kozi maalumu kwa ajili ya walimu wa sayansi kwa secondary. Mwanafunzi anachaguliwa direct toka form four kwenda chuo cha ualimu na huko atasoma masomo ya advance na baadae ualimu.
Mkuu kozi hiyo ni kweli ipo, kozi maalumu kwa ajili ya walimu wa sayansi kwa secondary. Mwanafunzi anachaguliwa direct toka form four kwenda chuo cha ualimu na huko atasoma masomo ya advance na baadae ualimu.
Shida sio kulearn ila kuelewa ndo tatizo labda jamaa hajui kujielezea ila kitu kama hichi hakipo kamwe sababu..
1. Kwanza huwezi fanya mtihani wa form six akati wewe unasoma diploma au wewe inakuingia akilini???? Usome diploma alafu uletewe mtihani wa form six???????
Mkuu kozi hiyo ni kweli ipo, kozi maalumu kwa ajili ya walimu wa sayansi kwa secondary. Mwanafunzi anachaguliwa direct toka form four kwenda chuo cha ualimu na huko atasoma masomo ya advance na baadae ualimu.