Nilishangaa kuona mtoto wa kizungu anamtuma baba yake dukani

Uelewa wa hawa jamaa ni mdogo. Mtoro kaomba baba yake amsaidie wao wanaona ni issue. Ni kweli kwa maelezo ya jamaa mtoto kasema "would you please" katika lugha hii tunaita REQUEST. Not Command or Obligation. Jamaa wanatokwa na mapovu for nothing. Kama hawaelewi lugha wawe wanauliza.

Nakuelewa mkuu, hii inaitwa lugha gongana. Kichwa cha habari kinasema "....anamtuma baba yake...." lakini kwenye nukuu anasema mtoto alitumia maneno "would you please"
 
mkuu hiki ni kitu cha kawaida sana kwa wenzetu na sio wazungu tu hata waarabu pia......Mimi nafanya kazi huko, mzee akichelewa kuja kumchukua mtoto akifika utasikia "am sorry son, i got an emergency in my office so i had to wait for the Technician Mr, kilambo to fix it before i come here, am sorry" ila hii hutokana na upendo uliopitiliza kwa watoto wao, pia wazazi wa kike huwa hawatumwi hahaha
 
Tabia za kibabe babe kwenye familia ndizo hasa zinazozaa madikteta Africa.

Hawa madikteta hawakuibuka tu. Wametoka humo kwenye familia za kinduli nduli.

Tunapopambana na ulevi wa madaraka, utawala wa sheria na uvunjifu wa Katiba, chanzo chake ni malezi ya kidikteta dikteta huko kwenye familia zenye mababa Katili.

Ndio maana huko Africa mna mapolisi Katili, marais Katili, Viongozi Katili, na mwisho wananchi Katili.

Violence, police brutality, utekaji, ghasia, mauaji...

Hata viwango vya uhalifu viko juu sana kwa sababu ya hayo yote.
 
Tabia za kibabe babe kwenye familia ndizo hasa zinazozaa madikteta Africa.

Hawa madikteta hawakuibuka tu. Wametoka humo kwenye familia za kinduli nduli.

Tunapopambana na ulevi wa madaraka, utawala wa sheria na uvunjifu wa Katiba, chanzo chake ni malezi ya kidikteta dikteta huko kwenye familia zenye mababa Katili.
mtoto hatakiwi kuchekewa kila wakati mkuu. Unakuwa unamkuza vibaya
 
Uelewa wa hawa jamaa ni mdogo. Mtoro kaomba baba yake amsaidie wao wanaona ni issue. Ni kweli kwa maelezo ya jamaa mtoto kasema "would you please" katika lugha hii tunaita REQUEST. Not Command or Obligation.
Kwa hiyo tatizo lipo kwa baba kukubali kutumwa na mtoto?@
 
Hao ndio watoto walioratibiwa......... wewe wako ulimpata guest houses kwa msaada wa supu ya pweza na Kiroba........baaada ya kumdanganya kidemu kimoja cha kutoka iringa si balaaa hilo...........tena ulipiga bao kumi kwa kukomoa mwisho wa siku mtoto katoka kakamaa kama gamba la kaa dadeki.............
 
Hao ndio watoto walioratibiwa......... wewe wako ulimpata guest houses kwa msaada wa supu ya pweza na Kiroba........baaada ya kumdanganya kidemu kimoja cha kutoka iringa si balaaa hilo...........
Haya ni matusi sasa mkuu. Please acha kutukana@
 
Hao ndio watoto walioratibiwa......... wewe wako ulimpata guest houses kwa msaada wa supu ya pweza na Kiroba........baaada ya kumdanganya kidemu kimoja cha kutoka iringa si balaaa hilo...........tena ulipiga bao kumi kwa kukomoa mwisho wa siku mtoto katoka kakamaa kama gamba la kaa dadeki.............
Umeandika kwa jazba sana kijana
 
Daaah... Unachelewa sana kuelewa. Baba ameombwa na mtoto wake kununua kitu.hii inaonesha baba na mtoto wana ukaribu mpaka urafiki.na mtoto amekuwa mstaarabu kasema would you please... Hamna tatizo kwa mzazi kwenda.

nyie mmelelewaje na wazazi wenu?sisi tumezoea kuwaambia wazazi... Baba unaweza niletea cake?naomba uniletee keki... Ndo maisha yetu ni kawaida.na mzazi analeta. Malezi mazuri huleta urafiki

Kwa hiyo tatizo lipo kwa baba kukubali kutumwa na mtoto?@
 
Daaah... Unachelewa sana kuelewa. Baba ameombwa na mtoto wake kununua kitu.hii inaonesha baba na mtoto wana ukaribu mpaka urafiki.na mtoto amekuwa mstaarabu kasema would you please... Hamna tatizo kwa mzazi kwenda.

nyie mmelelewaje na wazazi wenu?sisi tumezoea kuwaambia wazazi... Baba unaweza niletea cake?naomba uniletee keki... Ndo maisha yetu ni kawaida.na mzazi analeta. Malezi mazuri huleta urafiki
Infantry Soldier anataka kuleta ujeda wake mpaka katika malezi
 
Kwa jinsi mtoto alivyoomba hata mm ningekuwa baba yake mzazi ningeenda hajaomba kwa dharau kaomba kwa adabu Sana Tena anarudia please please
 
Mzee baba mbona hiyo kawaida! Hii inaweza kutokea popote hata African, kama mzazi mwenye busara ni lazima umusikilize mwanao anachotaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom