Nilisema Tz tuachane na vyama vya siasa

Nilisema Tz tuachane na vyama vya siasa

Genius Messi

Member
Joined
Oct 14, 2017
Posts
74
Reaction score
52
Kabla ya wimbi la hama hama nilishauri tuachane na siasa hasa hivi vyama, badala yake tujikite kwenye kuijenga nchi.

Nahisi vyama vina gharama kubwa kuvi*run pesa (zikiwamo ruzuku) ambazo hugawiwa vyama husika zingeelekezwa kwenye afya na elimu.

Bado nina imani tukiwa na katiba nzuri Bunge imara, madiwani, mahakama na viongozi wa juu serikalini mambo yataenda vizuri tutakua na umoja na ushirikiano ulio nora kuliko wakati wowote na maendeleo yataonekana.
 
Turudi kwenye 'JPM tumpe kura ya ndiyo, ndiyo.'
 
Nikweli kabisa mkuu kama fedha za umma zinatumika kununulia madiwani nibora serikali ivufute vyama vya upinzani ibaki ccm pekeyake maana nimatumizi mabaya ya fedha za umma.maana kama imeshindwa kuboresha maslahi ya wafanyakazi kisa ukata hamna namna.
 
Niliwahi kuandika kuwa upinzani wetu ni theory tu practically tuko kwenye chama kushika hatamu.
Chama kushika hatamu kwa maslahi ya kikundi fulani cha watu wachache tu.
Wengine fuata upepo
 
Back
Top Bottom