HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,399
- 6,077
Habari JF isee Hawa mods walichonifanya ni unyama mtupu kwakweli yani walipiga kufuli kwa kauli hii (we Musiba tuliza makende chini) na huyo aliyekuwa anatoa kauli chafu wakamwacha wiki mbili sio mchezo nikaamua kufungua kwa I'd mpya cha kusikitisha haijawa approved hadi leo iko pending