Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,243
- 88,156
Mie ni mgonjwa kwenye kula jaman...nikiona samak mzuri naweka kituo..nikiona baadye mshikak una mafuta mafuta nimoo..!ila kwingune nna discpline balaa..!tena bora nipo maporni sion ubuyu wala keki!ila hii 20 uhakika kbs 100%bila kudisturb maisha ya kila siku..dah Mungu anisaidie