geraldkowero1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 1,838
- 647
mkuu umefanya jambo jema sana. kwa kujua kwako boss ni kiwembe na wadada wamekuwa wakilia inatosha kabisa kumuonya rafiki yako huhitaji kuwa dokta. usingefanya dhamira ingekusuta sana. achana na wanaokuponda, wanapost kwa kuigana.
Ushauri wako kwa jamaa ni mzuri ila zipo hatari tatu mbele yake na zote zitamuumiza yeye. Kwanza kwa vyovyote kama boss ni kiwembe na tayari wameshaanza kujipumzisha hotelini ni wazi kuku kaliwa. Pamoja na ushauri na tahadhari aliyopewa mwanadada lakini hakusikia uelewe nae haukuwa na uzima wowote nae ni muathirika na alijijua ila hakumwambia kijana. Alimkubali boss kuvuta mkwanja. Kwa vyovyote na ili mkwanja uwe mnono ni lazima alimweleza yote uliyomwambia kumhusu boss na kama ubinadamu wa boss wako ukiwa low lazima atakushughulikia. Hasara ya mwisho kwako ni kuwa kama binti alikuwa muathirika ila akakuficha jihesabu na wewe hauko salama. Nakushauri ukimbilie angaza kujua afya yako.