Wadada hatuna maana. Na hasa mbele ya hela. So usishangae kama kasema.
Ubuyu hununui leo?
Nina popcorn za asali pia
kumuita mtu mgonjwa while hauko sure ni kuhisi tu na ku guess guess sio vizuri.....inawezekana huyo binti anaijua vizuri status yake ndo maana kaamua kujilipua.......yawezekana mgonjwa ni binti aliepaswa kuwa warned ni huyo Boss...all in all ujifunze kuto ongea yale ambayo ukiulizwa 'evidence' huwezi kutoa.....
mkuu umefanya jambo jema sana. kwa kujua kwako boss ni kiwembe na wadada wamekuwa wakilia inatosha kabisa kumuonya rafiki yako huhitaji kuwa dokta. usingefanya dhamira ingekusuta sana. achana na wanaokuponda, wanapost kwa kuigana.Sijui ni tama au ujinga au ndio style yake!!!Ninafanya kazi wizara Fulani mkoani arusha alikuja dada mmoja ofisini kuja kunisalimia maana tulisoma naye na ni rafiki yangu wa karibu sana. Kwenye hiyo ofisi bosi ni kiwembe balaa na tulikuwa tunajua kuwa ameathirika na ukimwi. Kila binti mrembo akiingia pale alikuwa anatongozwa na wengi waliingia mkenge. Siku hiyo akaingia huyo binti mrembo rafiki yangu na alipotoka tu nikaitwa ofisini na kukawa na maongezi ya kikazi lkn moyoni nilijua kuna la ziada maana namfahamu. Kweli mwisho wa mazungumzo akiniulizia yule binti nikamwambia ni rafiki yangu na kuhusu uhusiano nikajibu ni rafiki yangu pia. Akaniomba namba yake nikamwambia nitampa baada ya kuomba ruhusa. Nikamwambia binti na kumweleza nilivyobanwa huku na bosi,binti akasema we mpe,nikatekeleza! Ila jioni ila baada ya siku 2 tukaonana na yule binti nikamwambia kuwa pale sio salama na kwamba kumwambia vile sio kwamba namuona ni mwepesi la hasha bali kumtahadhalisha na binti akasema anajua jinsi ya kumuhendo na kwamba atakwama mwenyewe. Siku moja baada ya wiki 3 nipo kwenye hoteli moja ghafla macho yangu yakawa yanakataa kuamini kilicho mbele yangu na mara bosi naye anakutana na macho yangu na kunisalimu na kuniambia wapo hapo wanapumzika kidogo na binti yule yule rafiki yangu. Sasa sijui kamwambia bosi niliyomueleza au kaamua kunyamaza? Sijui ni tama au nini? Huyu binti kaingia cha kike maana wamekuja wengi wanalia hapa ofisini na nimefuta na namba yake!Sijui nilifanya kosa....anyway ngoja nisubiri wiki ianze nitaona mwelekeo utanipa majibu kama kaambiwa au la!!!!
Yawekana wagonjwa kwa wagonjwa wamekutana ngoma droo.
Acha wafu wazike wafu wao
Ong'wa kulwa, ng'wamisha bhabha
Umeamua kuja kunitangaza hapa JF? Sasa tutaona nani mbabe kati yangu na wewe!
Ulimshauri vizur Sawa, but
Sio vizur kumuongelea mtu vibay coz mwisho wa siku we ndo utaonekana
mbaya.. imagine kama boss wako kaambiwa hayo yote, utakuwa fungu gani au
ushajiandaa kuhama ofisi? Think big
Sijui ni tamaa au
ujinga au ndio style yake.
Ninafanya kazi Wizara fulani mkoani Arusha alikuja dada mmoja ofisini
kuja kunisalimia maana tulisoma naye na ni rafiki yangu wa karibu sana.
Kwenye hiyo ofisi bosi ni kiwembe balaa na tulikuwa tunajua kuwa
ameathirika na ukimwi. Kila binti mrembo akiingia pale alikuwa
anatongozwa na wengi waliingia mkenge. Siku hiyo akaingia huyo binti
mrembo rafiki yangu na alipotoka tu nikaitwa ofisini na kukawa na
maongezi ya kikazi lkn moyoni nilijua kuna la ziada maana namfahamu.
Kweli mwisho wa mazungumzo akiniulizia yule binti nikamwambia ni rafiki
yangu na kuhusu uhusiano nikajibu ni rafiki yangu pia. Akaniomba namba
yake nikamwambia nitampa baada ya kuomba ruhusa.
Nikamwambia binti na kumweleza nilivyobanwa huku na bosi,binti akasema
we mpe,nikatekeleza! Ila jioni ila baada ya siku 2 tukaonana na yule
binti nikamwambia kuwa pale sio salama na kwamba kumwambia vile sio
kwamba namuona ni mwepesi la hasha bali kumtahadhalisha na binti akasema
anajua jinsi ya kumuhendo na kwamba atakwama mwenyewe.
Siku moja baada ya wiki 3 nipo kwenye hoteli moja ghafla macho yangu
yakawa yanakataa kuamini kilicho mbele yangu na mara bosi naye anakutana
na macho yangu na kunisalimu na kuniambia wapo hapo wanapumzika kidogo
na binti yule yule rafiki yangu.
Sasa sijui kamwambia bosi niliyomueleza au kaamua kunyamaza?
Sijui ni tama au nini?
Huyu binti kaingia cha kike maana wamekuja wengi wanalia hapa ofisini
na nimefuta na namba yake.
Sijui nilifanya kosa anyway ngoja nisubiri wiki ianze nitaona mwelekeo
utanipa majibu kama kaambiwa au la.
mkuu umefanya jambo jema sana. kwa kujua kwako boss ni kiwembe na wadada wamekuwa wakilia inatosha kabisa kumuonya rafiki yako huhitaji kuwa dokta. usingefanya dhamira ingekusuta sana. achana na wanaokuponda, wanapost kwa kuigana.
kuonekana mbaya na kupata AIDs kipi bora?Ulimshauri vizur Sawa, but Sio vizur kumuongelea mtu vibay coz mwisho wa siku we ndo utaonekana mbaya.. imagine kama boss wako kaambiwa hayo yote, utakuwa fungu gani au ushajiandaa kuhama ofisi? Think big
mkuu ulifanya la maana akianza dose atakukumbuka. mm sitoi k kisa kazi.mm niliambia twende australia nimekataa na kazi kuishnei
kuonekana mbaya na kupata AIDs kipi bora?Ulimshauri vizur Sawa, but Sio vizur kumuongelea mtu vibay coz mwisho wa siku we ndo utaonekana mbaya.. imagine kama boss wako kaambiwa hayo yote, utakuwa fungu gani au ushajiandaa kuhama ofisi? Think big
Twende bagamoyo...