..nilimsahau but amejileta tena..

..nilimsahau but amejileta tena..

Watu walikua busy na registration nami nikiwa mmoja wa wanafunzi tuliokua tunaingia first year. Ndipo macho yangu yakamuona huyu mdada wa "kimachame" na kumzamisha kunako "moyo". Nikamsogelea kumsabahi na kumuomba "kampani". Akakubali & from there tukawa marafiki. Kwa kuwa nilishamtamani kimapenzi, haikuchukua muda nikarusha "ndoano" akaniambia nisubiri atanipa jibu. Sikuamini pale aliponiambia hawezi kua na mimi coz ni "mshamba" & naweza kumtia aibu kwa marafiki zake. ILINIUMA SANA. Hivyo ndivyo nilivyoambulia kibuti.. Nilijitahidi nikasahau yote, nikaja kuwa na GF mwngne hapo b'dae, japo hatukudumu kwa muda mrefu.. Nilimaliza chuo na nikaajiriwa at the same time nikawa na b'nes zangu. Siku moja usiku nikaona namba ngeni inaingia kwa simu yangu, nikajaribu kupokea but mpigaji akakata simu. Asubuh iliyofata nilipiga ile namba, sauti ya mdada ikaitika na kunitaja jina langu.. Akazunguka kunambia yeye ninan, nikamtukana then nikakata simu. Ndipo b'dae akaniandia ujumbe mfupi na kuniomba radhi kisha akajitambulisha.. Moyo ulinipasuka paaa..aa, kuona jina la mdada aliyeniumiza wakati nipo chuo!!
Tukapanga kuonana na ikawa hvo. Akanieleza yalomkuta nami nikaeleza yangu, akatoa machozi na kuniomba radhi kwa alonifanyia nikiwa chuo. Mdada anafanya kazi na amenambia she is ready for marriage. Kuna mzee mmoja wakati nipo mwaka wa 2 alishawah kunambia usithubutu kuoa mwanamke ambae alishawah kukukataa kwa kukukashifu. Nashindwa kuamua wadau, naomba busara zenu.
Ucje ukafanya kosa la kumpenda we kula mzigo usepe at least na yy umuonyeshe ushamba wk,umle tigo ikiwezekana mamaye
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Watu walikua busy na registration nami nikiwa mmoja wa wanafunzi tuliokua tunaingia first year. Ndipo macho yangu yakamuona huyu mdada wa "kimachame" na kumzamisha kunako "moyo". Nikamsogelea kumsabahi na kumuomba "kampani". Akakubali & from there tukawa marafiki. Kwa kuwa nilishamtamani kimapenzi, haikuchukua muda nikarusha "ndoano" akaniambia nisubiri atanipa jibu. Sikuamini pale aliponiambia hawezi kua na mimi coz ni "mshamba" & naweza kumtia aibu kwa marafiki zake. ILINIUMA SANA. Hivyo ndivyo nilivyoambulia kibuti.. Nilijitahidi nikasahau yote, nikaja kuwa na GF mwngne hapo b'dae, japo hatukudumu kwa muda mrefu.. Nilimaliza chuo na nikaajiriwa at the same time nikawa na b'nes zangu. Siku moja usiku nikaona namba ngeni inaingia kwa simu yangu, nikajaribu kupokea but mpigaji akakata simu. Asubuh iliyofata nilipiga ile namba, sauti ya mdada ikaitika na kunitaja jina langu.. Akazunguka kunambia yeye ninan, nikamtukana then nikakata simu. Ndipo b'dae akaniandia ujumbe mfupi na kuniomba radhi kisha akajitambulisha.. Moyo ulinipasuka paaa..aa, kuona jina la mdada aliyeniumiza wakati nipo chuo!!
Tukapanga kuonana na ikawa hvo. Akanieleza yalomkuta nami nikaeleza yangu, akatoa machozi na kuniomba radhi kwa alonifanyia nikiwa chuo. Mdada anafanya kazi na amenambia she is ready for marriage. Kuna mzee mmoja wakati nipo mwaka wa 2 alishawah kunambia usithubutu kuoa mwanamke ambae alishawah kukukataa kwa kukukashifu. Nashindwa kuamua wadau, naomba busara zenu.


ndugu yangu usiache mbachao kwa msala upitao na usidharau dafu wakati embe tunda la msimu yaani temana naye huyo dada:smile-big:
 
Kama angekuwa anakupenda angekupenda toka mwanzo bila kujali ushamba wako ..naona sasa kaona uko powah kimaisha ndo maana amerudi
Take care
 
... Jiandae ku R.I.P

Huyu aliyekuambia jiandae ku R.I.P hajakosea kabisaaaa! wanawake wanaotoka huko machame ni WATATA BALAA!! Hata wanaume wa Machame wanaogopa kuoa kwao!! Na tena una biashara zako binafsi na ajira tu!!! Huyo utadumu nae kwa few years then uta-R.I.P unamwacha anakula bata!!! Stay away from her, she was not a right choice to you, mwombe Mungu akupe mke aliye sahihi kwako, usiende kichwa kichwa itaku-cost ndugu yangu. Huyo temana naye kabisa!!!
 
Huyu aliyekuambia jiandae ku R.I.P hajakosea kabisaaaa! wanawake wanaotoka huko machame ni WATATA BALAA!! Hata wanaume wa Machame wanaogopa kuoa kwao!! Na tena una biashara zako binafsi na ajira tu!!! Huyo utadumu nae kwa few years then uta-R.I.P unamwacha anakula bata!!! Stay away from her, she was not a right choice to you, mwombe Mungu akupe mke aliye sahihi kwako, usiende kichwa kichwa itaku-cost ndugu yangu. Huyo temana naye kabisa!!!

Mwana una mauzoefu kha!
 
Watu walikua busy na registration nami nikiwa mmoja wa wanafunzi tuliokua tunaingia first year. Ndipo macho yangu yakamuona huyu mdada wa "kimachame" na kumzamisha kunako "moyo". Nikamsogelea kumsabahi na kumuomba "kampani". Akakubali & from there tukawa marafiki. Kwa kuwa nilishamtamani kimapenzi, haikuchukua muda nikarusha "ndoano" akaniambia nisubiri atanipa jibu. Sikuamini pale aliponiambia hawezi kua na mimi coz ni "mshamba" & naweza kumtia aibu kwa marafiki zake. ILINIUMA SANA. Hivyo ndivyo nilivyoambulia kibuti.. Nilijitahidi nikasahau yote, nikaja kuwa na GF mwngne hapo b'dae, japo hatukudumu kwa muda mrefu.. Nilimaliza chuo na nikaajiriwa at the same time nikawa na b'nes zangu. Siku moja usiku nikaona namba ngeni inaingia kwa simu yangu, nikajaribu kupokea but mpigaji akakata simu. Asubuh iliyofata nilipiga ile namba, sauti ya mdada ikaitika na kunitaja jina langu.. Akazunguka kunambia yeye ninan, nikamtukana then nikakata simu. Ndipo b'dae akaniandia ujumbe mfupi na kuniomba radhi kisha akajitambulisha.. Moyo ulinipasuka paaa..aa, kuona jina la mdada aliyeniumiza wakati nipo chuo!!
Tukapanga kuonana na ikawa hvo. Akanieleza yalomkuta nami nikaeleza yangu, akatoa machozi na kuniomba radhi kwa alonifanyia nikiwa chuo. Mdada anafanya kazi na amenambia she is ready for marriage. Kuna mzee mmoja wakati nipo mwaka wa 2 alishawah kunambia usithubutu kuoa mwanamke ambae alishawah kukukataa kwa kukukashifu. Nashindwa kuamua wadau, naomba busara zenu.
Keshaungua huyo anatafuta wa kufa naye usile matapishi yako kama alijua utakuwa na umuhimu ni bora angekuzungusha kuliko kukupiga kibuti, vibuti vinauma unaweza siku moja ukaitaji kulivenge na hapo ndo kutakuwa hakuna ndoa, achana nae.
 
Naona we tutakuzika mda si mrefu...
 
Back
Top Bottom