Nilimpenda lakini namuacha

Mueleweshe taratibu, nilishakua na pisi ya hivyo nikamuelekeza na akabadilika. Tafuta muda umwambie face to face kwenye sms hawezi kukuelewa kirahisi

Vizazi vya dotcom wanaona taabu kuandika s wanatumia X.

Hivi mtu anavyoongea ndivyo anaandika nadhan sijui wakipewa kalamu na karatasi waandike sijui itakuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…