Wadau naombeni ushaur et una mpenZi ambaye mnatarajia kutambulishana kama mwezi mmoja ujao then unagundua ana secret mahusiano na mtu mwingine et anadai kutambuliahwa...plz help[/QUOTE
Tukushauri Nini Sasa Hapa? Anyway Mimi NAKUSHAURI ILI KUEPUKANA NA HAYO MATATIZO YOTE IGA TU TABIA ZA KISHUJAA ZA WAHEHE.
GENTAMYCINE tabia zipi za kishujaa za kihehe
Genta nakukubali mkuu, what a wonderful advice ambao utakata mzizi wote wa fitina!!!!!!!!Wadau naombeni ushaur et una mpenZi ambaye mnatarajia kutambulishana kama mwezi mmoja ujao then unagundua ana secret mahusiano na mtu mwingine et anadai kutambuliahwa...plz help[/QUOTE
Tukushauri Nini Sasa Hapa? Anyway Mimi NAKUSHAURI ILI KUEPUKANA NA HAYO MATATIZO YOTE IGA TU TABIA ZA KISHUJAA ZA WAHEHE.
Kwani wewe ni bikra kwa sasa? Kama sivyo, huna sababu ya kumzira mwenzakoWadau naombeni ushauri,
Eti una mpenzi ambaye mnatarajia kutambulishana kama mwezi mmoja ujao then unagundua ana secret mahusiano na mtu mwingine eti anadai kutambulishwa.
Please help
Wadau naombeni ushauri,
Eti una mpenzi ambaye mnatarajia kutambulishana kama mwezi mmoja ujao then unagundua ana secret mahusiano na mtu mwingine eti anadai kutambulishwa.
Please help