Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,810
- 623
Hapo hakuna cha umshauri kitu, huyo dada aendelee na maisha yake, mimama mingine sijui inakuwa kama imepagawa vile, unamvulia nguo mwanao kisa? sasa ndio wajifunze wazazi wengine,..mwmbie huyo dada kama anaweza msaidia huyo kaka apate kazi amsaidie, ila asijihusishe nae na chochote, hata kama alimpenda vipi
haah haah haaah BB ujue akikubali kumsaidia lazima watakumbushia tu mana mpenz yao yalikua deep kwa miaka mitatu then viumbe wa kike ni wepesi kusamehe na usikute huyo mdada anaweza kumtosa mumewe na kurudi kwa jamaa hasa kama yeye ndio hasa chaguo la moyo wake!