Ana matatizo,ila anajiongezea matatizo tu. Kupoteza bando kwa kujitungia uongo huku akilalamika hana pesa. Anyway labda kufanya hivi inamfanya ajisikie vizuri,who knows ?!ni kama mtu anayetafuta attention ya matatizo yake na serious a naonekana ana matatizo
😂 😂 😂 😂
Kwahiyo bwana mkubwa unajitekenya na kucheka mwenyewe??
Titicomb na SHIMBA YA BUYENZE nawaomba hapa tafadhali.!!
Wewe kifo cha kunywa sumu lazima ingetrend tu. Vifo vya kunywa sumu,kujinyonga huwa vinatrend sana.Em ingia website ya chuo kama www.udom.ac.tz angalia vifo vilivyotekea mwezi may afu uniambie kama ulivisikia vikitangazwa ktk vyombo vya habari au mitandaoni. Kama siyo mwanachuo wa chuo husika huwezi kujua
Mbona hutuambii huyo Umomi alikuwa anasoma chuo kipiEm ingia website ya chuo kama www.udom.ac.tz angalia vifo vilivyotekea mwezi may afu uniambie kama ulivisikia vikitangazwa ktk vyombo vya habari au mitandaoni. Kama siyo mwanachuo wa chuo husika huwezi kujua
Huyo jamaa tumeshampoteza lakini hajafa bado.😂 😂 😂 😂
Kwahiyo bwana mkubwa unajitekenya na kucheka mwenyewe??
Titicomb na SHIMBA YA BUYENZE nawaomba hapa tafadhali.!!
Muulize majina sahihi ya Umomi na msiba wake upo wapi tuhudhurie mazishi?😂 😂 😂 😂
Kwahiyo bwana mkubwa unajitekenya na kucheka mwenyewe??
Titicomb na SHIMBA YA BUYENZE nawaomba hapa tafadhali.!!
Huyo jamaa tumeshampoteza lakini hajafa bado.
Ana shida kubwa sana, nasikia bangi ya Mara ni kali sana kuliko kitu cha Meru.
Kigorohe tupe majibu hapo juuMuulize majina sahihi ya Umomi na msiba wake upo wapi tuhudhurie mazishi?
Gheto la marehemu alikopigania mrembo lipo mtaa gani huko Dom, mwenye nyumba ni nani? Mjumbe wao ni nani?
Huwa hatumshauri mtu depressed hivi hapa tunamuongea stress tu labda ajiue kweli sasaPopote alipo huyu Umomi nikimkuta nampitishia tire ya X3 ili akufe, hatuwezi kuwa tunachat na mzimu huku JF
Chuo(madrasa)Chuo gan unachosoma bwana mkubwa?ama veta?
Hakuna mwanafunzi wa Udom aliyekufa kwa kujinyonga.Wewe kifo cha kunywa sumu lazima ingetrend tu. Vifo vya kunywa sumu,kujinyonga huwa vinatrend sana.
Wewe si umetangazwa umekufa wewe?Man amini ninachokwambia
Apigwe ban ya maisha kutotuma vitu JF ikithibitika katuma taarifa za uongo kuhusu kifo cha mtu.Majibu hanaa katuzugaa tu huyooo