"Sikujui, Hunijui achana na mimi".
Ngoja Kongosho aje atoe source!!
Afu wewe, usi-omit 'ukafie mbele'
itapunguza makali ya msemo.
Eh! Sikujua kama ni gereza! Nitaomba niwe mfungwa wa maisha, lakini kwenye magereza tofauti tofauti, ikibidi hata kwa condoliza
hahahahahaha hii kali mkuu umemaliza
mbwa wako asipobweka, bweka mwenyewe