Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,869
- 828,391
Sasa hivi haya mambo yamekuwa ni ya Kawaida kiasi kwamba watu wakiyasikia hawastuki sana
Haya mambo yalianza miaka ya 90.. Uumbaji ulipoanza kunajisiwa kwa kasi ya aina yake
Wababa kutembea na mabinti zao mpaka wengine kuwapa ujauzito na kuzaa nao ama kufanya abortion
Wamama kuingia kwenye mahusiano na watoto wao wa kiume mpaka kufikia kufunga nao ndoa
Mabinti kugombana na mama zao kwa ajili ya mahusiano na baba zao
Matokeo yake wazazi wakaanza kuwalaani watoto wao na laana hizo ndio zimezaa mauaji mengi ya wazazi wanaouliwa na watoto wao wa kuwazaa
Iwe kwasababu za kishirikina, utajiri, umaarufu urithi nk.. Lakini haya mambo yana asili yake
Haya yanayotokea sasa ya wanandoa kuuana kwa sababu ya mali ama wazazi kuwaua watoto wao hasa wadogo kwa ajili ya mali si mambo ambayo hayana asili ama yametokea bila chanzo
Ni laana kubwa kwa wazazi kuingia kwenye mahusiano ya kingono na watoto wao wa kuwazaa
Ni laana kwa watoto wa tumbo moja kuingia kwenye mahusiano ya kingono
Haya mahusiano huwa na nguvu sana lakini pia huwa na matokeo hasi makubwa sana
Hizi laana za kingono kati ya ndugu wa damu zina athari mpaka kwenye ardhi na vizalia vinavyofuata!
Haya mambo yalianza miaka ya 90.. Uumbaji ulipoanza kunajisiwa kwa kasi ya aina yake
Wababa kutembea na mabinti zao mpaka wengine kuwapa ujauzito na kuzaa nao ama kufanya abortion
Wamama kuingia kwenye mahusiano na watoto wao wa kiume mpaka kufikia kufunga nao ndoa
Mabinti kugombana na mama zao kwa ajili ya mahusiano na baba zao
Matokeo yake wazazi wakaanza kuwalaani watoto wao na laana hizo ndio zimezaa mauaji mengi ya wazazi wanaouliwa na watoto wao wa kuwazaa
Iwe kwasababu za kishirikina, utajiri, umaarufu urithi nk.. Lakini haya mambo yana asili yake
Haya yanayotokea sasa ya wanandoa kuuana kwa sababu ya mali ama wazazi kuwaua watoto wao hasa wadogo kwa ajili ya mali si mambo ambayo hayana asili ama yametokea bila chanzo
Ni laana kubwa kwa wazazi kuingia kwenye mahusiano ya kingono na watoto wao wa kuwazaa
Ni laana kwa watoto wa tumbo moja kuingia kwenye mahusiano ya kingono
Haya mahusiano huwa na nguvu sana lakini pia huwa na matokeo hasi makubwa sana
Hizi laana za kingono kati ya ndugu wa damu zina athari mpaka kwenye ardhi na vizalia vinavyofuata!