Niliikuta hii bidhaa ya Tanzania kwa mshikaji wangu South Africa

Ng'wanapagi

JF-Expert Member
Sep 18, 2013
9,125
8,627
Je ni kweli imetokea nyumbani? au ni Wakenya wanatumia jina letu maana hao majirani zetu ni wajanjawajanja kama Wanaijeria vile. Paketi imeandikwa made in Tanzania
IMG-20190917-WA0001.jpeg
IMG-20190918-WA0000.jpeg
 
Mkuu kwa ninavyofahamu,Asmara ni mji mkuu wa Eritrea,na nembo ya hiyo bidhaa ni Asmara.Kinachonipatia ukakasi ni neno la kiswahili hapo "pamoja".
Ukisoma historia ya kahawa nadhani chimbuko lake ni huko Ethiopia/eritrea. Sasa nadhani hiyo labeling inaweza kuwa ni kati ya Tanzania au Kenya wanafanya utapeli kutumia jina la Eritrea.
 
Mkuu kwa ninavyofahamu,Asmara ni mji mkuu wa Eritrea,na nembo ya hiyo bidhaa ni Asmara.Kinachonipatia ukakasi ni neno la kiswahili hapo "pamoja".
Ukisoma historia ya kahawa nadhani chimbuko lake ni huko Ethiopia/eritrea. Sasa nadhani hiyo labeling inaweza kuwa ni kati ya Tanzania au Kenya wanafanya utapeli kutumia jina la Eritrea.
Unanishauri vipi hawa matapeli kuwaripoti kwani wanatumia jina pia la Tanzania ukikumbuka ndio nchi raia wake kidogo wanaaminika bondeni
 
Labda tanzania ina kamsamaha fulani kwa huko south sababu ya msaada wa kipindi cha nyuma kwaiyo mandera akatoa labda offa kwenye makodi sasa watakuwa wanapita na chichoro hiyo we waache nao watumie fulsa bana ingekuwa we ungechongewa ungepiga kelele humu
 
Acha kuwa na inferiority complex, nenda Google search Tanzania roasted beans utaletewa mamia ya brands za kahawa ya Tanzania cappuccino wakiwemo
 
Back
Top Bottom