Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,604
- 6,611
- Thread starter
- #61
Wakati mwingine nawaza leseni ya nini wakati leseni haiendeshi chombo cha motoOyaaa kijasho kilinitoka leseni naenda pata wapi mimi..
Wakati mwingine nawaza leseni ya nini wakati leseni haiendeshi chombo cha motoOyaaa kijasho kilinitoka leseni naenda pata wapi mimi..
Wanachukulia kama kuwa na leseni ndo umeiva rasmi kuendesha kumbe wahuni wananunua leseni wanadunda road..Wakati mwingine nawaza leseni ya nini wakati leseni haiendeshi chombo cha moto
Wao si walishalia msibani mimi nililia walivorudiIlikuaje,ulibaki salama au ulichezea mijeledi
Tuishi nazo tuWanachukulia kama kuwa na leseni ndo umeiva rasmi kuendesha kumbe wahuni wananunua leseni wanadunda road..
Pole mkuuWao si walishalia msibani mimi nililia walivorudi
Familia za kawaida tu mkuuHongereni wengi humu wametoka familia za kishua.
Nilishamuahidi kumpeleka veta kujifunza akimaliza f4,Ili awe na cheti kabisa.Binti yako ana passion na magari mfundishe kuendesha kidogo kidogo..na kama alisemaa atachomoka na hilo ndinga basi ipo siku mkijisahau atabeba funguo ajaribu na kama hajui anaweza kula mzinga ikawa majanga
Ukimfundisha mapema kuna faida nyingi tu na akianza kujua saiv,mpaka anafika form four atakua dereva mzuri tu
Nakumbuka kuna wenzangu watatu nilikua nao shule kwao kila mmoja gari lipo ila wanakaziwa kuendesha kisa bado wanafunzi halafu kila siku mimi nawapa story ninavyopiga misele na ndinga la nyumbani wakawa wanatamani kweli kuendesha
Wawili kati yao walijaribu kuiba gari nyumbani kwao lakini wakala mzinga kwa sababu hawajui kuendesha
Mmoja aliwasha gari akaweka reverse akakanyaga wese nyingi moja kwa moja mpaka getini akazoa geti la nyumbani kwao
Huyu mwingine nae siku kavizia kwao wazazi wake wamesafiri kabaki yeye na house girl tu.. kwao kuna gari mbili sasa hiyo siku zilikua zimepaki kwa kufuatana moja mbele moja nyuma lakini kulikua na nafasi ya kama mita tano kati ya gari ya mbele na ya nyuma yeye akaingia gari iliyokua nyuma akawasha chuma na kwenye kutoka ilibidi arudi reverse...sasa yeye akaweka d badala ya reverse akakanyaga mafuta anashtuka gari inaenda mbele badala ya nyuma na alivoona anakaribia kugonga gari iliyokua mbele akapata wenge badala ya kukanyaga breki akakanyaga wese akapasua gari zote mbili
Bora yako wewe mimi nilivamia karandinga la askari magereza wakajua ni ambush nataka kuwatorosha wafungwa nilizungukwa na askari zaidi ya 30 wakaniweka mtu kati nilipigwa mabanzi na mateke mpaka kituoni niliia siku nzima non stop mpaka sauti ikakauka sitokuja sahau.
Ni uamuzi wa busaraNilishamuahidi kumpeleka veta kujifunza akimaliza f4,Ili awe na cheti kabisa.