Mi naona usimuulize wala nini, hapo umegundua kiwanja tuu ndo hukijui, ukichunguza unaweza kukuta ANA MIJUMBA MIWILI na wewe huijui, sasa ukimuuliza kuhusu hicho kiwanja ataomba msamaha kwa kukuficha kiwanja afu yataisha hivo ambavo hujavibamba ndo hutovijua kamwe!!!
Kama unataka kutatua tatizo hilo lazima uwe mjanja! Kuwa mtoto wa Mjini Usimwambie nimeona meseji hiii blah! blah! blah! We muweke mtu kati mwambie bwana nina USHAHIDI wa kujitosheleza bila shaka yoyote, kuwa wewe UNAIVEST KISIRI, sasa kabla sijatoa maamuzi ya mwisho, na hitimisho, ukiwa kama Mke wangu kwa huu muda uliosalia nakupa LAST CHANCE ya kunieleza kwa KINA kila kitu ulichoficha, na KWANINI huniamini mumeo? Kutokana na habari nilizonazo nikilinganisha na utayosema, nikakuta ufichaji fichaji hauendelei WE MAY HAVE A CHANCE YA KUTUNZA NDOA! Ila kama kufichana na kudanganyana kunaendelea heri tuachane manake tutawekeana SUMU.
Kwanza atapanic ushahidi gani ulio nao!! Nani kauza CD? Atababaika huyo kama kama amekutwa akiwang usiku, maneno yatakuwa yanakatikia kooni
Hapo atatiririka na kufunguka A to Z @ Wifi yangu, ila ndo YOU SHOULD EXPECT THE UNEXPECTED!!!!! Unywe dawa za kutuliza pressure mapemaaa usije kututoka!!!