A man with no name
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 1,098
- 1,498
Nimepata nakufanya kama Translator katika mradi wa Equator Initiative Project lilikuwa ni wazo la mdau mmoja hapa alishauri nijaribu kuomba UNV nanilipo jaribu nikafanikiwa
baada ya kuuliza jinsi ya Ku_apply,unaulizia kwanza mkwanja?vipi malipo ?
Tuambie mkuu namna ya kufanya application katika hizo issuebaada ya kuuliza jinsi ya Ku_apply,unaulizia kwanza mkwanja?
mambo ya ku apply baadae ..hamjui ku apply kila siku ....baada ya kuuliza jinsi ya Ku_apply,unaulizia kwanza mkwanja?
mimi sijui ,nasubiri jamaa aelekezeTuambie mkuu namna ya kufanya application katika hizo issue