Nilichokishuhudia Romania Dec/1989

Nina wasi wasi na hiyo story yako ya kusoma Australia. My son drink(s) water tu imekushinda kuandika sahihi!
My brother eats food, Ahaaa Wewe ndie tahira hujui kiingereza

He, she, it

We you

Haya mambo ni std 1
 
Mara chatu mara ng'ombe mara mzungu mara Bucharest mara Moldova mara godoro yaani kila ukiunganisha dots unapata maluelue tu..
Wewe kweli kilaza yaani ktk story yote iyo ndo umeambulia hayo tu??

Pole yako kwa kupakatwa na chogo
 
Mpumbavu utamjua tu kwa kutunga hadithi za alinacha.
 
Vijana wa "ulipo tupo" bado hamkubari kuwa mlishindwa uchaguzi wa 2015,sasa mnawaza mapinduzi ya kwenye mtandao.
Jipangeni 2019 uchaguzi wa serikali za mitaa 2020 uchaguzi mkuu. Nawakumbusha tu.
Umeletwa na Kagame?? Mbona Kiswahili kinakupa taabu??
 
Nina wasi wasi na hiyo story yako ya kusoma Australia. My son drink(s) water tu imekushinda kuandika sahihi!
Wewe ndiyo una matatizo, Syntax unayotaka kuileta hapa ni kwa mjibu wa uelewa wako. Hajakosea, My Son Drink Water (ni amri), My Son Drinks Water unayoitaka wewe (ni kauli taarifa).
Tofautisha.
 
Ni hatari sana... Mambo kama hayo ndiyo yanaoendelea kwenye nchi nyingi za Africa...


Cc: mahondaw
 
Nasimulia nilichokiona Romania na nilivyonusurika kuuawa na hatimaye kurudi nyumbani salama,wewe unakuja hapa na kuniita mimi ni mpumbavu,sasa kwanini unapoteza muda wako kusoma uzi wa mpumbavu?
By the way,unanijua mimi na maisha yangu wewe juha?
Unadhani nina dhiki? Mimi siyo hayawani kama wewe boya,ubongo wako umejaa kamasi tupu,ukila ukashiba ukaweka pocket money mfukoni,unaona nchi ipo pazuri sana,una tofauti gani na mbwa koko wewe? Hujui kuhusu wajane,yatima,wagonjwa,wafungwa na watoto wa mitaani wanaoteseka,juha kabisa wewe achana na mimi.
 
Mkuu huyo jamaa mjinga sana,sasa sijui kilichomuuma kwenye story yangu ni kipi,muda utaongea siku watapofurushwa madarakani
 
Wewe ndiyo una matatizo, Syntax unayotaka kuileta hapa ni kwa mjibu wa uelewa wako. Hajakosea, My Son Drink Water (ni amri), My Son Drinks Water unayoitaka wewe (ni kauli taarifa).
Tofautisha.
Ahsante mkuu kwa kumwelewesha huyo kilaza wa lugha
 
Mpumbavu utamjua tu kwa kutunga hadithi za alinacha.
Kwako ni hadithi kwa sababu you have been deeply destructed by poverty,you're a scrub that astonishes success, si ajabu hata Kenya tu hujawahi kwenda,leo kusikia Australia na Romania wakati unawaza kuzamia meli ni lazima useme hii ni hadithi,pole sana ndugu umaskini mbaya mno.
 
Now i understand why you always swim with the tide of whites.
Magufuli wanyooshe kabisa watuletee stori nyingine nyingi za kujifariji.
Any ufipa member with Julius caeser's story you may have it presented please.
How does my story relate by Ufipa?kwanini mkisikia Dikteta your heart beats move rapidly?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…