Nilichokishuhudia leo UDART Kimara mwisho

Nilichokishuhudia leo UDART Kimara mwisho

Mimi hakuna kitu kinanikera kama kuzunguka kwenye Yale mangazi yao unapoingia na kutoka kituoni.Hivi ile ilitikana na design walikoitoa au ilikua watu wapate 10% zao.
 
hakuna mradi ambao umeanzishwa serikali ya tanzania afu ukafanyika kwa mafanikio!!haijawahi kutokea dah sijui tuna laana gani sisi!!!
 
Mimi hakuna kitu kinanikera kama kuzunguka kwenye Yale mangazi yao unapoingia na kutoka kituoni.Hivi ile ilitikana na design walikoitoa au ilikua watu wapate 10% zao.
Ile ni ili kuwasaidia wenye mahitaji maalumu. Ingekuwa wote tupo "physically fit" zingejengwa ngazi na kazi ingeisha, lakini mule wanaingizwa hadi wenye baiskeli za kusukuma na inawadaidia sana.
 
Nasikia wameleta mabasi mapya 70 kwa ajili ya kupunguza kero. Sasa walete ma kadi pia.
20180216_114208.png
 
Back
Top Bottom