Nilichokishuhudia leo UDART Kimara mwisho

Nilichokishuhudia leo UDART Kimara mwisho

Coffee

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2017
Posts
1,304
Reaction score
1,313
Asubuhi pale Kimara terminal huwa kuna hali mbaya ya msongamano wa abiria kuanzia kwenye kukata tickets hadi ndani kwenye kupanda ni kama vita vile abiria wanvyosukumana kupanda magari.

Sasa leo asubuhi ilikuwa hali mbaya zaidi kituoni ndani abiria wamejaa hakuna pa kukanyaga nje kwenye tickets nyomi kwenye machine za kuilingilia msongamano hatari na magari hakuna kwa hali ile kuna abiria kibao waliacha kukata ticket wakawa wanapenya kwa chini kwenye zile machine maana askari walizidiwa na abiria wengine walikuwa wanavutana mashati na askari ikawa advantage kwa watu kuingia bila kuwa na ticket.

Uongozi kwa hali ilivyo ni wazi mmeshindwa uendeshaji wa mradi huduma ni mbovu.
 
edac0813e094502cb2dbd390b1cddc39.jpg
 
Asabuhi pale kimara terminal huwa kuna kuwa hali mbaya ya msongamano wa abiria kuanzia kwenye kukata tickets hsdi ndani kwenye kupanda ni kama vita vile abiria wanvyosukumana kupanda magari.
Sasa leo asubuhi ilikuwa hali mbaya zaidi kituoni ndani abiria wamejaa hakuna pakukanyaga nje kwenye tickets nyomi kwenye machine za kuilingilia msongamano hatari na magari hakuna kwa hali ile kuna abiria kibao walicha kukata ticket wakawa wanapenya kwa chini kwenye zile machine maana askari walidiwa na abiria wengine walikuwa wanavutana mashati na askari ikawa advantage kwa watu kuingia bila kuwa na ticket. Uongozi kwa hali ilvyo ni wazi mmeshindwa uendeshaji wa mradi huduma ni mbovu.
Wanayataka wenyewe. kila kitu kipo wazi kuwa asubuhi kimara abiria wapo wengi sana. ila tu hawakomi.
 
Hao UDART mwenendo wao wa utowaji hizo huduma ni wa hovyo kabisaa ..kuna Siku niliwahi panda mabus yao nilikiwa na tokea Mbezi asubuhi..ABIRIA TULIKAA KITUONI KWA MUDA WA DKKA 45 TUNA SUBIRI USAFIRI TU
 
Jamani sikililizeni kama simulizi tuu lakini pale kituoni hapafai kabisa. unaweza kufa pale pale ule msongamano. gari ikija kuingia
 
Jamani sikililizeni kama simulizi tuu lakini pale kituoni hapafai kabisa. unaweza kufa pale pale ule msongamano. gari ikija kuingia
Siku kukiwa na PANICK yoyote pale, stampede watakufa watu wengi tu. Hili sijui kama wanaliona.
 
Back
Top Bottom