Nilichokiona (NANENANE) Kimenisikitisha sana

Nilichokiona (NANENANE) Kimenisikitisha sana

mtunzasiri

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2012
Posts
1,449
Reaction score
993
Nilitarajia kwenye maonyesho hayo ningeona hivi
1471208934981.jpg
1471208959595.jpg
1471209010295.jpg
1471209030638.jpg
1471209081538.jpg
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] badala yake nimeambulia kushuhudia vinginevyo na wenye maonyesho yao ambao ni wakulima
1471209209228.jpg
1471209219514.jpg
1471209228461.jpg
na hawa
1471209252728.jpg
1471209262229.jpg
1471209282711.jpg
bila kusahau hawa walikuwepo
1471209314979.jpg
1471209324033.jpg
1471209331709.jpg
1471209338972.jpg
na
1471209598878.jpg
1471209605000.jpg
1471209609694.jpg
 
Wee unaona vyema hapo au maruweruwe ya bangi
 
nilisikia pia washiriki wengi walilalamika maonesho ya 88 yamekuwa kilinge cha watu kwenda kupiga vyombo na nyama choma....hakuna mtu mwenye muda wa kwenda kuulizia mbegu ya mahindi au kufuga kuku n.k
 
Mi nilichokiona nane nane ni campuni za simu hsa Tigo na wakala wa Techno wakiuza Simu bila kutoa risit. Simu zilikuwa bei poa sana ila walikuwa hwakubali kutoa risiti.
 
Inawezeka macho yako yana shida, unavutiwa na vitu vilivyong'arishwa kwa rangi za mvuto hivyo ulitumia muda mwingi kutembelea vinayog'ara. Vinginevyo usingeshindwa kuona kazi nzuri mifugo, mazao, samaki, zana za kilimo, majrida, vilivyooneshwa na; JKT, magereza, veta, sua, taasi za utafiti, halmashauri, n.k
 
Mimi nilifaidika sana, kwanza nilijifunza jinsi ya kutengeneza bustani ya mjini, nilijifunza jinsi ya kushinda mmea wa kidoha ambao kwa kanda ya ziwa unashambulia na kuua mashamba mengi ya mahindi na mazao mengine kwahiyo ninajua wapi pa kupata mbegu maalumu za mahindi za kushinda kidoha, nilijifunza pia kuhusu zao la mhogo na jinsi ya kuliongezea thamani, nilijifunza pia kuhusu dawa ya mchwa ambayo inaweza kuwaua mchwa na ufalme wao maana huku kwetu mchwa unatusumbua mashambani kwani unakula miti michanga na kuiangamiza (hata mimi miti yangu kadhaa ililiwa na mchwa ila sasa sitakubali maana naijua dawa), nilijifunza mambo mengine kwa kutembelea kampuni kama SEEDCO n.k. Baada ya yote niliingia cafe kupata msosi na kuondoka zangu nikawaacha vijana wa mwendo kasi wanacheza Disco usiku kuche.
 
Aisee hiki ndio kizazi cha pool table.
We nanenane umeanza kwenda Ukubwani au?
We ulifikaje hapo kwenye hizo show,na mifano umeyoitoa ni ya kizamani sio kwa nchi kama Tanzania yenye ardhi ya kutosha ambayo inauwezo wa kuonyesha uhalisia.
 
Nilitembelea mabanda ya JKT,Magereza,Carmatec,Selian research .........Mabanda ya nyama choma na mabeseni niliyapita kwa mbali kabisa.Waandaaji wa haya maonyesho wanatakiwa kuyaboresha siku zijazo.
 
Ulichagua kuona hivyo...lakini si kwamba maonesho ya kilimo hayakuwepo
 

Nashukuru mashirika ya simu . kwenda kwenye maonesho
ni muhimu dunia bila mawasiliano ; wakulima watajuaje bei za masoko;
watengenezewe software ya bei za bidhaa sokoni
 
Kwan nane nane bado inaendelea had leo, we nazan umeenda jana wkt nane nane imeisha au umeenda nanenane dar ambapo kilimo hakipewi kipaumbele
 
Back
Top Bottom