MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,185
- 24,055
Mkuu vyovyote vile. Jmaa yetu kasema alikusanya ticket kama kumi halafu akashughulikia moja tu. Sasa huoni zilizobaki zinakwenda kuuzwa tena? Nitashangaa sana kama hakutakuwa na wizi pale.Nijuavyo mimi....ile tiket inakuwa scanned ili isitumuke mara mbili....kwamba mapato yanapotea kwa kutoscan sidhan kama ni dhana sahihi. Itakuwa sahihi tu kama hizo tiket zitaenda kuuzwa tena...hapo mapato yatapotea.
Nijuavyo mimi....ile tiket inakuwa scanned ili isitumuke mara mbili....kwamba mapato yanapotea kwa kutoscan sidhan kama ni dhana sahihi. Itakuwa sahihi tu kama hizo tiket zitaenda kuuzwa tena...hapo mapato yatapotea.
Hilo jipu jamaa hakiligundua kafaaUmeeleweka sana kiongozi.
kama zilisaidia ushindi wa ........usitegemee chochote (ESCROW)Leo wakati nipo ferry nimeshuhudia kitu cha kusikitisha, licha raisi wetu anajitahidi kudhibiti rushwa na kukusanya mapato, lakini kuna watz wachache wamethibitisha mtoto wa haramu hata umfiche ndani ya chupa atatoa kidole tu ili kuonyesha uwepo wake, ni hivi nimefika ferry mwazoni kabisa nakutana na geti na kibanda cha kukatia tiketi, nikalipa nauli nikapewa tiketi iliyochapwa kwa kompyuta, nikaingia ndani nakutana na kijana ambaye anakusanya zile tiketi na kuzimulika ( jina silijui) na kitu kama sensor fulani ambazo husoma zile tarakimu na kuziingiza kwenye mfumo wa ukusanyaji mapato pale kivukoni, sasa huyu jamaa anachokifanya ni kukusanya tiketi kama kumi halafu anaimulika ya juu tu halafu anazichana, kwa hiyo zile tisa za chini zinakuwa hazijaingizwa kwenye kompyuta kuonyesha kuwa tiketi zile zimenunuliwa, nashauri kuwe na mashine ambazo ikitoa tiketi isome moja kwa moja bila kuhitaji mtu wa pili wa kumulika kama zile za madukani
ulichukua hatua ganiLeo wakati nipo ferry nimeshuhudia kitu cha kusikitisha, licha raisi wetu anajitahidi kudhibiti rushwa na kukusanya mapato, lakini kuna watz wachache wamethibitisha mtoto wa haramu hata umfiche ndani ya chupa atatoa kidole tu ili kuonyesha uwepo wake, ni hivi nimefika ferry mwazoni kabisa nakutana na geti na kibanda cha kukatia tiketi, nikalipa nauli nikapewa tiketi iliyochapwa kwa kompyuta, nikaingia ndani nakutana na kijana ambaye anakusanya zile tiketi na kuzimulika ( jina silijui) na kitu kama sensor fulani ambazo husoma zile tarakimu na kuziingiza kwenye mfumo wa ukusanyaji mapato pale kivukoni, sasa huyu jamaa anachokifanya ni kukusanya tiketi kama kumi halafu anaimulika ya juu tu halafu anazichana, kwa hiyo zile tisa za chini zinakuwa hazijaingizwa kwenye kompyuta kuonyesha kuwa tiketi zile zimenunuliwa, nashauri kuwe na mashine ambazo ikitoa tiketi isome moja kwa moja bila kuhitaji mtu wa pili wa kumulika kama zile za madukani
Kuna kitu kina tuchelewesha kufikia malengo yetu nacho ni HAKI ZA BINADAMU! Yaani third world countries ina bidi kuweka pembeni hii kitu badala yake ni kupiga risasi mtu anae vunja sheria na kutaka kujinufaisha binafsi kama huyo jamaa. Anajua kabisa kuwa analiibia Taifa lake halafu akikamatwa tunampeleka wapi sijui mahakamani wakati fedha za kuhonga anazo!Dawa ni shaba tu tuna achana nae tunasonga mbele.Hilo wezi walilijua ila hawakutaka kununua kwa kuwa hawata iba, usifikiri wamenunua hiki kimashine kimakosa ila wanajua wanachokifanya, chunga sana binadamu wakati unajitahidi kujenga kuna wajinga wanajitahidi kubomoa
Hongera kwa kugundua ufisadi huo. Naamini mamlaka husika zitalifanyia kazi.Leo wakati nipo ferry nimeshuhudia kitu cha kusikitisha, licha raisi wetu anajitahidi kudhibiti rushwa na kukusanya mapato, lakini kuna watz wachache wamethibitisha mtoto wa haramu hata umfiche ndani ya chupa atatoa kidole tu ili kuonyesha uwepo wake, ni hivi nimefika ferry mwazoni kabisa nakutana na geti na kibanda cha kukatia tiketi, nikalipa nauli nikapewa tiketi iliyochapwa kwa kompyuta, nikaingia ndani nakutana na kijana ambaye anakusanya zile tiketi na kuzimulika ( jina silijui) na kitu kama sensor fulani ambazo husoma zile tarakimu na kuziingiza kwenye mfumo wa ukusanyaji mapato pale kivukoni, sasa huyu jamaa anachokifanya ni kukusanya tiketi kama kumi halafu anaimulika ya juu tu halafu anazichana, kwa hiyo zile tisa za chini zinakuwa hazijaingizwa kwenye kompyuta kuonyesha kuwa tiketi zile zimenunuliwa, nashauri kuwe na mashine ambazo ikitoa tiketi isome moja kwa moja bila kuhitaji mtu wa pili wa kumulika kama zile za madukani
Ndiyo lengo na kuifanyia validation kwenye mfumo.Kumbe ndio hivyo. Mi nilifikiri kuimilika [scan] ni kuzuia usiitumie tena hio tiketi.
Nijuavyo mimi....ile tiket inakuwa scanned ili isitumuke mara mbili....kwamba mapato yanapotea kwa kutoscan sidhan kama ni dhana sahihi. Itakuwa sahihi tu kama hizo tiket zitaenda kuuzwa tena...hapo mapato yatapotea.