Emmanuel180
JF-Expert Member
- Dec 17, 2019
- 326
- 627
Unaandika tu confirmation number last name mwaka wa kuzaliwa bas unachekUtajuaje wengine hawajapata?
Naaam nitajaribu kila mwakaUmejaribu si mbaya...Dnt giv up
Unaandika tu confirmation number last name mwaka wa kuzaliwa bas unachek
Yaah that is it's just Normal guysNaamaanisha kama umekosa jua kuna watu wamepata
Ndo maana halisi ya lotteryNaamaanisha kama umekosa jua kuna watu wamepata
Kila mtu hapa anapambania maisha yake mama yeye tayar anaupiga mwingi na waliopata wacha na wao wakaupige mwingi huko kwa bidenMbn mnataka kumkimbia mama wakati anaupiga mwingi?
Bure kuombaIyo lottery bei gani
Omba tena octoberYaah that is it's just Normal guys
Kwa hiyo wanachezesha mara ngapi ?Kwa hawamu y kwanza n random selected then mchujo wa pili ndo wanaangalia based kweny nchi etc
Walopata watakuwepo tu 😂😂Kila mtu nayemjua aliejaribu amekosa,ss ni nani kafanikiwa?
Yaaah ntarudia tenaOmba tena october
NaamWalopata watakuwepo tu